steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,574
- 10,285
kwa kweli sijivunii kabisa kuwa raia wa nchi hii,cjui kwa nn nilizaliwa hapa,hata majirani zetu wanatudharau sana,wanatuona sie ndo mapimbi namba mja duniani,kwani tuna kila kitu kinachoweza kutufanya tuwe juu kwa kila kitu lakini waaapi,ndo maana nikisafiri kwenda nchi za nje mi najifanya ni msenegali tu kuepuka hii aibu