Miongoni mwa hoja alizozitoa Mnyika kuhusu watuhumiwa wa kashfa ya rada, ni kuwafikisha mahakamani wahusika walioisababishia hasara nchi yetu katika sakata la rada. Hii ni kufuatia maelezo ya Waziri Chikawe kwamba hakuna ushahidi kwamba kulikuwa na rushwa.
Kwa vile mashitaka siyo ya rushwa tu, kwa nini isifikiriwe kwamba wale waliohusika kushauri na kufanya maamuzi wachukuliwe hatua za kutumia madaraka vibaya au chochte ambacho DPP ataoma kinafaa, badala ya kufunga milango tu as if hakuna kilichotokea. Tumeshuhudia haya kwa akina Mramba na wenzake, Liyumba na hata Jengo wa Benki Kuu na wenzake.
Kwa vile mashitaka siyo ya rushwa tu, kwa nini isifikiriwe kwamba wale waliohusika kushauri na kufanya maamuzi wachukuliwe hatua za kutumia madaraka vibaya au chochte ambacho DPP ataoma kinafaa, badala ya kufunga milango tu as if hakuna kilichotokea. Tumeshuhudia haya kwa akina Mramba na wenzake, Liyumba na hata Jengo wa Benki Kuu na wenzake.