HAZOLE
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,551
- 710
WANDUGU,
jana nimesikia kuna kamati maalumu itakayoongoza sala na dua maalumu ya kuliombea taifa. dua na sala zitafanyika uwanja wa taifa. jamani yaleyale mambo ya imani, dini hizi.
taifa hili ni mzigo, maisha magumu, huyo Mungu mbona hatusikilizi? watu wanaumia lakini hawasikii. duh kweli nimeamini dini/imani ya Mungu ni kama bangi vile. unalewa na unakuwa mjinga.
jana nimesikia kuna kamati maalumu itakayoongoza sala na dua maalumu ya kuliombea taifa. dua na sala zitafanyika uwanja wa taifa. jamani yaleyale mambo ya imani, dini hizi.
taifa hili ni mzigo, maisha magumu, huyo Mungu mbona hatusikilizi? watu wanaumia lakini hawasikii. duh kweli nimeamini dini/imani ya Mungu ni kama bangi vile. unalewa na unakuwa mjinga.