kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,368
Si bado wanatumia jina hili kama kejeli, siku tukianza kuwalima msibadilishe kauli zenu, eti eh wana nunua mechi au wana roga sana.
Kuna majina yanakuja na baraka zake. Kama hili la wala mihogo, ni jina kwanza la heshima, pia la ubabe na lenye asili ya Kiafrika.
Tunaanza kulima wenzenu huko Tunisia tariki 9, halafu ninyi wengine mkutaniwe mkimwagilia maji ardhini ili jembe likalime muhogo vizuri.
Kuna majina yanakuja na baraka zake. Kama hili la wala mihogo, ni jina kwanza la heshima, pia la ubabe na lenye asili ya Kiafrika.
Tunaanza kulima wenzenu huko Tunisia tariki 9, halafu ninyi wengine mkutaniwe mkimwagilia maji ardhini ili jembe likalime muhogo vizuri.