Hiki ndicho wanachojua viongozi wetu wakiwa nje

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Rais mtarajiwa mh bernard membe akiwa na rais wa marekani anaemaliza muda wake mh obama
huko usa
 

Attachments

  • obama.jpg
    obama.jpg
    81.3 KB · Views: 116
Kupiga picha na viongozi wa kitaifa hakuna shida ila na wasanii ndo shida.......hata nyerere alikuwa anafanya hivyo ila si kama j.k wetu mpaka wasanii
 
Hongera kukutana na mh obama ila usiishie kupiga picha tu,mwuongelee na mambo yanayoweza kutusaidia watanzania kimaendeleo hasa kutupatia fursa za ajira na kutangaza utalii wa tz,obama aje atembelee serengeti nk atuachie madola
 
hiyo picha itamuuma sana JK maana alikua ndio awe amepiga pooz hapo...anaweza asimuone obama tena hasa kama asiposhinda uchaguzi november
 
Back
Top Bottom