Hiki kichwa kinatisha Mungu mzidishie

Status
Not open for further replies.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe kasema bajeti ya safari hii ni safi, huyu ndio mwenye chama nyie Pro-Chadema-JF. Mnasemaje?
 
Ujue kwa kadri ya Dk Slaa,waziri wa fedha katudanganya...kwenye katiba kasema atafufua reli na shirika la ndege...lakini haonyeshi hizo hela za kufufa hayo mashirika zipo wapi...kwahiyo kasema kama zimefichwa watuambie...miradi mipya haijabainishwa pia...isitoshe hela nyingi zimeenda kwenye wizara chache(kama 6 hizi ) sasa wizara nyingiine watatoa wapi fedha za kuendeshea wizara hizo ilhali fedha zote za bajeti zimeeda kwenye wizara 6 tu...???
Wewe umeiona au umeshaiskia budget ya COMWORKS?
 
Acha unafiki wewe, then title yako umetumia neno Kusutwa umeonyesha wazi una chuki binafsi.

Ni mangapi CHADEMA,Dr.Slaa na viongozi wengine wamekua wakisema ukweli na kuishauri serikali kwa mambo mazuri na muhimu kwa taifa,mbali na kuyaponda au kuyabeza majukwaani wanayatekeleza kisirisiri vita ya mafisadi,Buzwagi,katiba mpya kuyataja machache.Ni lini CCM na viongozi wake walikubali hadharani ukweli na umakini wa viongozi wa CHADEMA?Kama isingekua CHADEMA situngesikia vita vya ufisadi,kama isingekua CHADEMA tusingesikia kujivua magamba (Ingawa ni usanii)Kwa ufupi hata jitihada inazozifanya CCM zapo ni za kisanii ni kutokana na kukurupushwa usingizini na CHADEMA.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Mkuu hata wewe? hivi hata mchawi hana mazuri yake? ina maana kama unakataa uchawi na kuzungumzia ubaya wa mchawi unatakiwa kwanza uzungumzie mazuri yake?
Ni mangapi CHADEMA,Dr.Slaa na viongozi wengine wamekua wakisema ukweli na kuishauri serikali kwa mambo mazuri na muhimu kwa taifa,mbali na kuyaponda au kuyabeza majukwaani wanayatekeleza kisirisiri vita ya mafisadi,Buzwagi,katiba mpya kuyataja machache.Ni lini CCM na viongozi wake walikubali hadharani ukweli na umakini wa viongozi wa CHADEMA?Kama isingekua CHADEMA situngesikia vita vya ufisadi,kama isingekua CHADEMA tusingesikia kujivua magamba (Ingawa ni usanii)Kwa ufupi hata jitihada inazozifanya CCM zapo ni za kisanii ni kutokana na kukurupushwa usingizini na CHADEMA.MUNGU IBARIKI TANZANIA.
 
Achaneni na matakataka ya wanamagamba wanaoondoa watu kwenye hoja za msingi humu ndani.
Ccm hakuna mtu anaemfikia dk Slaa kwa umakini hata kwa robo tu hakuna! nani Mukama katibu wao mbovu yule! Jk ndio takataka kabisa kwa slaa..
 
Achaneni na matakataka ya wanamagamba wanaoondoa watu kwenye hoja za msingi humu ndani.Ccm hakuna mtu anaemfikia dk Slaa kwa umakini hata kwa robo tu hakuna! nani Mukama katibu wao mbovu yule! Jk ndio takataka kabisa kwa slaa..
Wewe ulivyokuwa na upofu wa fikra kwako, A Loser Dk Slaa ni Prophet wako kila atokachosema wewe sawa tu
 
Hapa ndipo ninapopinga kwa nguvu zangu zote! Iwapo una nia njema kwa wananchi unatakiwa uhakikishe kuwa unazuia maharibiko dhidi yao. Dr na wenziwe wangekuwa na nia hiyo wangetowa mapendekezo yao kabla bajeti haijatengenezwa ili yasaidie lakini hili la kungojea mtu ajenge halafu uje utowe makosa huku ukijuwa kuwa makosa unayoyatowa hayatarekebishwa pengine tu kwa vile waliotayarisha wameshaona kuw wewe hukuwa na nia nzuri tangu hapo kwani ulikuwa wapi wakati jitihada za kujenga kitu kikifanywa. Hali hii ya wanaojiita wapinzani kukosoa inafanyika kila siku na mwisho wake bajeti inapitishwa. Mtanisamehe iwapo nitawakwanza kwa hili lakini ukweli wenyewe si DR si Professor na yeyote alie katika upinzani wanafanya haya kwa manufaa yetu badala yake ni kutafuta umaarufu wa kisiasa.
Wewe mpaka leo hii hujaelewa maana ya kuwa na vyama vingi vya siasa? Kweli tunasafari ndefu! Wewe bado unawaza ccm kushika hatamu! Nenda kasome mfumo wa vyama vingi na manufaa yake.Eti chadema washirikiane na ccm kutengeneza budget? What a bushshit! Utamsaidiaje mpinzani wako aendelee kutawala? Umenipa hofu sana kwamba mpaka una diriki kuandika humu bila hata kujiuliza kwa kutumia simple mind! This is a shame kama sisi ndiyo tuna mwanga lakini tunapotosha maana ya vyama vingi vya siasa.Wanaoweza kushirikiana kutengeneza budget ni ccm na CUF labda lakini tena ni kwa huko zenji siyo bara!Chadema wanayo budget yao mbdala itakayosomwa na zitto bungeni, kama ccm wataona inawafaa basi wachukue mazuri wayaingize kwenye yao. Nadhani hapa umepata namna gani chama cha upinzani kinaweza kuchangia kwenye budget.Kama unataka kujiridhisha na utendaji wa cdm wape nchi siyo unataka uwatumie kusaidia ccm walioshindwa waendelee kutawala!Nakushauri ukajifunze tofauti ya system ya chama kimoja na vyama vingi. Hutaleta tena hoja kama hii. Pole sana.
 
wewe mpaka leo hii hujaelewa maana ya kuwa na vyama vingi vya siasa? Kweli tunasafari ndefu! Wewe bado unawaza ccm kushika hatamu! Nenda kasome mfumo wa vyama vingi na manufaa yake.eti chadema washirikiane na ccm kutengeneza budget? What a bushshit! Utamsaidiaje mpinzani wako aendelee kutawala? Umenipa hofu sana kwamba mpaka una diriki kuandika humu bila hata kujiuliza kwa kutumia simple mind! This is a shame kama sisi ndiyo tuna mwanga lakini tunapotosha maana ya vyama vingi vya siasa.wanaoweza kushirikiana kutengeneza budget ni ccm na cuf labda lakini tena ni kwa huko zenji siyo bara!chadema wanayo budget yao mbdala itakayosomwa na zitto bungeni, kama ccm wataona inawafaa basi wachukue mazuri wayaingize kwenye yao. Nadhani hapa umepata namna gani chama cha upinzani kinaweza kuchangia kwenye budget.kama unataka kujiridhisha na utendaji wa cdm wape nchi siyo unataka uwatumie kusaidia ccm walioshindwa waendelee kutawala!nakushauri ukajifunze tofauti ya system ya chama kimoja na vyama vingi. Hutaleta tena hoja kama hii. Pole sana.
teh teh teh,1. In terms of votes slaa alipata nyingi na hakuna anayepinga but in terms of capacity and presidency there is no doubt that lipumba fits the office and can perform far from slaa,lakini ukikomalia nani anatikisa nchi utapoteza muda, watanzania siku zote wanafanya ushabiki na siyo kutafuta kiongozi wa kweli.kwangu mimi ushabiki unaoelekezwa kwa slaa nauona kama aliopewa ****** 2005 , watanzania walijidai hawaelewi hawasikii, magazeti yakapamba na kupamba lakini leo chali?2.hata wakati wa kampeni 2010 ahadi za slaa na kikwete zilikuwa hazina tofauti na zilijaa propaganda zaidi kuliko ukweli na hali halisi.kwa mfano - ******; barabara za juu, haitekelezeki!kwa mfano - slaa ; treni ya umeme(haiwezekani maji kupanda mlima).kwa mfano - lipumba - kuirudisha reli mikononi mwa serikali na kuimarisha miundombinu yake(inatekelezeka).pamoja na sababu nyingine nisizozitaja kilichoisaidia chadema kuwapiga bao cuf ni vyombo vya habari, cuf wajiimarishe katikaangle hiyo otherwise cuf wajue chadema hawatatumia propaganda siku zote, kwa mfano hapa mwanza tunaona - wanaoongoza ni chadema nyamagana na ilemela, propaganda zao zinapaswa kufanywa hali halisi, kwa hiyo hata kama chadema wataingia katika madaraka kwa propaganda za hali ya juu haitowasidia tena kwani madarakani huwadanganyi watu, vinahitajiwa vitendo.3.mdahalo wa jana ulikuwa mzuri na dr slaa(phd) aliongea kwa ustadi mkubwa na kwa kujiamini lakini hakufikia hata robo ya vigongo alivyoshusha juzi prof lipumba(fbvep - 4 degrees) kwenye mdahalo wa tcd juu ya bajeti.ukiachilia mbali kuwa lipumba ni mtaalam wa uchumi lakini hata capacity wise he is better than the so called(president of people),kwa vyovyote iwavyo mdomo wa lipumba unaongea hali halisi zaidi na mdomo wa slaaa(phd) unaongea propaganda zaidi
 
Hamza kasongo, kazi nzuri sana, lakini niliona muda ulikuwa hautoshi, naomba umualike tena Dr Silaha:cool2:
 
Wewe mpaka leo hii hujaelewa maana ya kuwa na vyama vingi vya siasa? Kweli tunasafari ndefu! Wewe bado unawaza ccm kushika hatamu! Nenda kasome mfumo wa vyama vingi na manufaa yake.Eti chadema washirikiane na ccm kutengeneza budget? What a bushshit! Utamsaidiaje mpinzani wako aendelee kutawala? Umenipa hofu sana kwamba mpaka una diriki kuandika humu bila hata kujiuliza kwa kutumia simple mind! This is a shame kama sisi ndiyo tuna mwanga lakini tunapotosha maana ya vyama vingi vya siasa.Wanaoweza kushirikiana kutengeneza budget ni ccm na CUF labda lakini tena ni kwa huko zenji siyo bara!Chadema wanayo budget yao mbdala itakayosomwa na zitto bungeni, kama ccm wataona inawafaa basi wachukue mazuri wayaingize kwenye yao. Nadhani hapa umepata namna gani chama cha upinzani kinaweza kuchangia kwenye budget.Kama unataka kujiridhisha na utendaji wa cdm wape nchi siyo unataka uwatumie kusaidia ccm walioshindwa waendelee kutawala!Nakushauri ukajifunze tofauti ya system ya chama kimoja na vyama vingi. Hutaleta tena hoja kama hii. Pole sana.

Ndio maana Dk slaa inabidi azunguke sana nchi hii ili kuwasomesha hawa rafiki zako, yaani hawa zidumu magamba. Elimu ya uraia na nguvu ya umma. Hawajui kitu, ni kuwasamehe na kuwapenda kuwahamasisha na kuwaelimisha.:lock1:
 
Wewe mpaka leo hii hujaelewa maana ya kuwa na vyama vingi vya siasa? Kweli tunasafari ndefu! Wewe bado unawaza ccm kushika hatamu! Nenda kasome mfumo wa vyama vingi na manufaa yake.Eti chadema washirikiane na ccm kutengeneza budget? What a bushshit! Utamsaidiaje mpinzani wako aendelee kutawala? Umenipa hofu sana kwamba mpaka una diriki kuandika humu bila hata kujiuliza kwa kutumia simple mind! This is a shame kama sisi ndiyo tuna mwanga lakini tunapotosha maana ya vyama vingi vya siasa.Wanaoweza kushirikiana kutengeneza budget ni ccm na CUF labda lakini tena ni kwa huko zenji siyo bara!Chadema wanayo budget yao mbdala itakayosomwa na zitto bungeni, kama ccm wataona inawafaa basi wachukue mazuri wayaingize kwenye yao. Nadhani hapa umepata namna gani chama cha upinzani kinaweza kuchangia kwenye budget.Kama unataka kujiridhisha na utendaji wa cdm wape nchi siyo unataka uwatumie kusaidia ccm walioshindwa waendelee kutawala!Nakushauri ukajifunze tofauti ya system ya chama kimoja na vyama vingi. Hutaleta tena hoja kama hii. Pole sana.


Watu wasio na akili kichwani mwao ndio walivyo. Hivyo kwa mawazo yako nini maana ya siasa? Jiulize hilo halafu ndio utajijuwa kuwa labda una akili za kijiweni . Hao CHADEMA hivi sasa wanayoyafanya wanasema wanafanya kwa ajili ya nani? Si mnasema kwa ajili ya wananchi. Hivyo kwa akili yako vyama vingi vina maana ya kuleta mvutano kati ya waroho wa madaraka kama walivyo CCM na CHADEMA? Unashangaa nini kukueleza kuwa vyama vishirikiane? Chukuwa mfano wa Obama kule Marekani kwa kutambua common cause ya watu wa Marekani juu ya suwala la ulinzi amemchagua somebody kutoka upinzani.

Si shangai hata kidogo kwa wewe kuandika utumbo kwani umasikini ulioletwa na wanasiasa unakupa mchanganyikio. Hivyo hujuwi Marekani budget na matumizi huwa yanapangwa na vyama vyote? Matumizi na fedha ni za wananchi si za Magamba wala Magwanda hivyo ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha kuwa Budget itakuwa kwa manufaa ya wananchi.
Nikuulize kitu kimoja ! Katika huu utaratibu wetu unaoufyagilia wewe huo upinzani umesaidia nini kuifanya Bajeti ambayo Wapinzani wameiona haifai na wao kutowa yao mbadala, katika kubadilishwa kwa maamuzi bungeni? Hivyo atmosphere inayojengwa na upinzani wa kupinga kila kitu kiwe kizuri au kibaya kitawafanya Magamba kuacha kuitetea Bajeti hiyo kwa nguvu zao zote?
Kama ni muelewa kama unavyojilabu basi hebu niambie nini tofauti kati ya Katiba na Bajeti katika sense ya kuleta faida kwa mwananchi? Sasa kwa nini CHADEMA imekomalia kuhakikisha kuwa inashiriki katika kuandaa Katiba ya nchi? Katiba ni mustakabali wa nchi kwa muda mrefu na Bajeti ni mustakabali wa nchi kwa kipindi cha mwa na tukitilia maanani kuwa Magamba watakuwepo hadi miaka mitano na ikiwa tabia ni hii ya kuwaachia wao wapange bajeti halafu Magwanda wakae watafute wapi pa kujidai kuwa pangefanywa hivi kwa mwembwe ili watu kama nyinyi mdanganyike naona ingekuwa sahihi pia mgewaachia Magamba wakaamuwa juu ya Katiba na baadae nyie mkatowa makosa.
Pole sana ndugu yangu kwa fikira zako kuwa watu wa nchi moja hamuwezi kukaa pamoja mkapanga jambo lenu kwa faida ya wote eti kisa tofauti za sera. Mwisho wa siku lengo ni kwa wananchi.
 
Ndio maana Dk slaa inabidi azunguke sana nchi hii ili kuwasomesha hawa rafiki zako, yaani hawa zidumu magamba. Elimu ya uraia na nguvu ya umma. Hawajui kitu, ni kuwasamehe na kuwapenda kuwahamasisha na kuwaelimisha.:lock1:

Nafikiri mnahitaji nyie na foundation yenu yote kusomeshwa. Iwapo lengo lenu ni kutafuta umaarufu kwa kukosowa basi sawa endeleeni hivyo kwani Watanzania wanataka vitendo na sio maneno. Nawatakieni safari njema ya kukosowa na hapo mtakapopata madaraka basi mtabidi mtengenezewe bajeti ili muwasilishe maoni ya bajeti.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom