Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,100
- 5,649
Ili kudhibiti Madawa ya Kulevya.
1. Jeshi la Polisi liwakamate mateja wote waliozagaa barabarani.
2. Mateja waliokamatwa waulizwe, wamenunua wapi unga, wanataja
3. Maretailer waliotajwa na mateja wanakamatwa pia, sababu hata makazi yao yanajurikana.
4. Maretailer wakiisha kamatwa na wenyewe wataeleza wananunua kwa nani?
5. Chain inaendelea mpaka kufikia mwisho.
Njia hii inamapungufu gani?
1. Jeshi la Polisi liwakamate mateja wote waliozagaa barabarani.
2. Mateja waliokamatwa waulizwe, wamenunua wapi unga, wanataja
3. Maretailer waliotajwa na mateja wanakamatwa pia, sababu hata makazi yao yanajurikana.
4. Maretailer wakiisha kamatwa na wenyewe wataeleza wananunua kwa nani?
5. Chain inaendelea mpaka kufikia mwisho.
Njia hii inamapungufu gani?