Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
na kama mvulana anaishi na baba anayempiga mkewe, utegemee kupighwa sana ukiolewa nae?
...sahihi kabisa, mara nyingi ndiyo mtizamo ataokua nao huyo mtoto kuwa ni haki yake kumtandika mkewe, unless kama aliikuwa na huruma na ku side na mama yake!