hii itakuwa Mlima wa Mtonga karibu na Iringa huko kwa watani wangu Wahehe............
sidhani kama inaweza ikawa,ebu angalia kwenye ukingo wa korongo kuna mtu sijui anapanda au anashuka na kamba....pande za iringa kuna uwezekano huo wa kamba?hii itakuwa Mlima wa Mtonga karibu na Iringa huko kwa watani wangu Wahehe............
Wazungu hao wanajaribu kupanda na kushuka 99 Problemssidhani kama inaweza ikawa,ebu angalia kwenye ukingo wa korongo kuna mtu sijui anapanda au anashuka na kamba....pande za iringa kuna uwezekano huo wa kamba?
Angalia hii picha,nadhani is same road huko BoliviaWazungu hao wanajaribu kupanda na kushuka 99 Problems
ni kweli bibie 99 ProblemsAngalia hii picha,nadhani is same road huko Bolivia
10 of the World's Most Dangerous Roads - Oddee.com (dangerous street, the death road...)
wapi barabara za ugweno usang mbona ndiohivyo?
Kitonga:israel:hii itakuwa Mlima wa Mtonga karibu na Iringa huko kwa watani wangu Wahehe............