Hii ni picha halisi ya tukio zima la kuapishwa kuwa rais kwa awamu ya pili 2010-2015

Kalunguine

JF-Expert Member
Jul 27, 2010
2,543
134
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!

wananchi wake kwa waume,nwazee kwa vijana,watakuwa njiani asubuhi ya tarehe 1 nov 2010 kwenda pale uwanja wa taifa kumshuhudia kipenzi chao DR JK akiaipishwa kuwa rais kwa awamu ya pili huku Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini profesa Ibrahim Haruna Lipumba akiwawakilisha mamilioni ya wana CUF nchini katika kuonyesha siasa za kistaarabu pale atakapotamka rasmi kuutambua ushindi mardaaaaaaaaaaad wa CCM,na pia tukimsikia kupitia vyombo vya habari DR slaa akilalama kuibiwa kura na kuzipandisha hasira na jazba za wanachadema kuandamana na kumwaga damu ili waingie ,katika serikali kupitia mlango wa nyuma!! hii ndio halisi.karibuni mtukane wana chadema
 
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!
wananchi wake kwa waume,nwazee kwa vijana,watakuwa njiani asubuhi ya tarehe 1 nov 2010 kwenda pale uwanja wa taifa kumshuhudia kipenzi chao DR JK akiaipishwa kuwa rais kwa awamu ya pili huku Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini profesa Ibrahim Haruna Lipumba akiwawakilisha mamilioni ya wana CUF nchini katika kuonyesha siasa za kistaarabu pale atakapotamka rasmi kuutambua ushindi mardaaaaaaaaaaad wa CCM,na pia tukimsikia kupitia vyombo vya habari DR slaa akilalama kuibiwa kura na kuzipandisha hasira na jazba za wanachadema kuandamana na kumwaga damu ili waingie ,katika serikali kupitia mlango wa nyuma!! hii ndio halisi.karibuni mtukane wana chadema

Dr Slaa atakosa siasa za kisataarabu kwa kukosa sherehe za kuapishwa kwa Dr Kikwete. Atakuwa pembezoni mwa nchi akilalamika na kutunga uongo wa kuwaambia wananchi ikibidi hata kuja hapa JF kuomba huruma yetu.
 
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!
wananchi wake kwa waume,nwazee kwa vijana,watakuwa njiani asubuhi ya tarehe 1 nov 2010 kwenda pale uwanja wa taifa kumshuhudia kipenzi chao DR JK akiaipishwa kuwa rais kwa awamu ya pili huku Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini profesa Ibrahim Haruna Lipumba akiwawakilisha mamilioni ya wana CUF nchini katika kuonyesha siasa za kistaarabu pale atakapotamka rasmi kuutambua ushindi mardaaaaaaaaaaad wa CCM,na pia tukimsikia kupitia vyombo vya habari DR slaa akilalama kuibiwa kura na kuzipandisha hasira na jazba za wanachadema kuandamana na kumwaga damu ili waingie ,katika serikali kupitia mlango wa nyuma!! hii ndio halisi.karibuni mtukane wana chadema


Ukweli huu unauma lakini ni kweli zimebaki siku 14 kwa Dr Kikwete kuapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili.
 
Kalunguine na Mama Porojo, asanteni kuendeleza porojo ila pia kuwa ..... sio lazima uokote makopo!.
 
Kama kweli watashinda kwa 90% hofu ya nini ... mnajua ukweli kuwa CCM wataambulia 09%... Ch**** inawabana mwaka huu makahaba wa mafisadi ninyi...
 
Chama tawala tena kongwe, Rais huko madarakani. Nguvu yoooooooooote na mabango ya nini. Mtashinda kwa kuiba na kulazimisha isyo ridhaa ya umma. Adhabu yake msipotubu inakuja msubiri mwajri wenu (mwananchi) akisirike.
Hudumieni wananchi masifa ya nini?hatuhitaji kishindo tunataka huduma bora.
 
Watu wengi hapa JF walishaamua nini cha kufanya ikifika 31 October 2010. Ndio maana posts kama hizi hazipati ushabiki sana hapa. Watu wanasubiri kuona nini kinachoendelea na kufuatilia wagombea wanasema nini hasa uko kwenye kampeni zao.

Kama mnauhakika kuwa JK atashinda kwa kishindo kiasi hicho (90%), basi hongereni sana. Ila, walau mimi sitakuwa mmja wa watakaochangia kura hizo.
 
hakuna asojua ukweli unauma,hata kama unaweza kudanganya watu fulani kwa mda flani na ukashindwa kudanganya watu woooooooote kwa kipindi choooooooooote! hiki ni kiama cha kweli kinakuja hasa kwa chadema,Sijaambiwa hili na yahaya hussen,ila prediction ziko bwazi,hakuna chadema baada ya kuapishwa JK,migogoro itakayokuja kufuatia kishindo cha kushindwa vibaya na kwenda kuwa mshindi wa tatu kama ilivyokuwa katika serikali za mitaa mwaka jana! unajua ngoma ikilia saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaana ***************** hufda kifo cha kawaida tena miguu chali kama mende mzoga,pigeni kampeni walau mpate majimbo mawili mwaka huu,make matatu yashaenda asubuhi mapema,uraisi nlishawaambia hadi mwaka 2100!
 
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!

wananchi wake kwa waume,nwazee kwa vijana,watakuwa njiani asubuhi ya tarehe 1 nov 2010 kwenda pale uwanja wa taifa kumshuhudia kipenzi chao DR JK akiaipishwa kuwa rais kwa awamu ya pili huku Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini profesa Ibrahim Haruna Lipumba akiwawakilisha mamilioni ya wana CUF nchini katika kuonyesha siasa za kistaarabu pale atakapotamka rasmi kuutambua ushindi mardaaaaaaaaaaad wa CCM,na pia tukimsikia kupitia vyombo vya habari DR slaa akilalama kuibiwa kura na kuzipandisha hasira na jazba za wanachadema kuandamana na kumwaga damu ili waingie ,katika serikali kupitia mlango wa nyuma!! hii ndio halisi.karibuni mtukane wana chadema
mmh, hata makamba mwenyewe atakutukana, coz unajaribu kumchapa punda aliekufa ili aongeze speed.
 
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!

wananchi wake kwa waume,nwazee kwa vijana,watakuwa njiani asubuhi ya tarehe 1 nov 2010 kwenda pale uwanja wa taifa kumshuhudia kipenzi chao DR JK akiaipishwa kuwa rais kwa awamu ya pili huku Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini profesa Ibrahim Haruna Lipumba akiwawakilisha mamilioni ya wana CUF nchini katika kuonyesha siasa za kistaarabu pale atakapotamka rasmi kuutambua ushindi mardaaaaaaaaaaad wa CCM,na pia tukimsikia kupitia vyombo vya habari DR slaa akilalama kuibiwa kura na kuzipandisha hasira na jazba za wanachadema kuandamana na kumwaga damu ili waingie ,katika serikali kupitia mlango wa nyuma!! hii ndio halisi.karibuni mtukane wana chadema


wengine wakiendelea kuweka thread za kufundisha kupiga risasi na kulenga shabahaa katika majukwaa mabali mbali hapa nchini.na wabeba mabox waliokimbia nchini na kuendelea na siasa wakiwa ughaibuni wataendelea kutuma hela teh teh teh zimsaidie dr(falsafa) maana ameinvest sana kwenye kampeni ambazo mwisho wa siku ................
 
Unapotaka kufanya biashara ya siasa mtaji wako ni watu.Ukishakuwa na wapiga kura wasioyumba kiasi kama 5 million unabaki na kazi ya kutafuta nyingine mara mbili kama hizo.Hiyo ndiyo base yako.

Kwa hesabu hii Jakaya Mrisho Kikwete atakuwa ni Rasi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.Wana Chadema especially bado hawana grass root voters.Wanategemea zaidi kuuza sera wakati wa kampeni.CUF nao wako pia kama Chadema.

Kinachotakiwa kufanywa baada ya uchaguzi ni matayarisho ya uvchaguzi unaokuja wa 2015.Vyama viwili vikubwa vya upinzani inabidi waanze kuweka base kwenye maeneo nchi nzima ili nao wapate loyal voters kama wa CCM.
 
[/COLOR]

wengine wakiendelea kuweka thread za kufundisha kupiga risasi na kulenga shabahaa katika majukwaa mabali mbali hapa nchini.na wabeba mabox waliokimbia nchini na kuendelea na siasa wakiwa ughaibuni wataendelea kutuma hela teh teh teh zimsaidie dr(falsafa) maana ameinvest sana kwenye kampeni ambazo mwisho wa siku ................

unakuwa unaandika as if unahudumia watu bar ..unakimbia kimbia na sinia la taska kufungua taska mawazo hayajatulia.Hujui unachoandika
 


ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi dr jakaya mrisho kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

Tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!





dr slaa atakosa siasa za kisataarabu kwa kukosa sherehe za kuapishwa kwa dr kikwete. Atakuwa pembezoni mwa nchi akilalamika na kutunga uongo wa kuwaambia wananchi ikibidi hata kuja hapa jf kuomba huruma yetu.

ukweli huu unauma lakini ni kweli zimebaki siku 14 kwa dr kikwete kuapishwa kuwa rais kwa awamu ya pili.
tusubiri tuone, na kwa kuwa kikwete hawezi kujipigia kura tusubiri tuone, na kwa kuwa sio nyinyi mnaopiga kura peke yenu, usiseme kitu, subirini muone kura zetu.
 
unakuwa unaandika as if unahudumia watu bar ..unakimbia kimbia na sinia la taska kufungua taska mawazo hayajatulia.hujui unachoandika


pole sana ndugu yangu, wewe ndio hujui kilichoandikwa, yani upo upo tu..... Pole tena.
 
Ukweli itakuwa ni baada ya masaa machache kupita toka pale mwenyekiti wa tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza rasmi DR Jakaya Mrisho Kikwete kuwa mshindi katika mbio hizi ambazo zinashirikisha wagombea waliokata tamaa kutoka upinzani.

tena ushindi wenyewe hautakuwa wa kubabaisha,bali wa kishindo tena kwa zaidi ya silimia 90!!

wananchi wake kwa waume,nwazee kwa vijana,watakuwa njiani asubuhi ya tarehe 1 nov 2010 kwenda pale uwanja wa taifa kumshuhudia kipenzi chao DR JK akiaipishwa kuwa rais kwa awamu ya pili huku Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini profesa Ibrahim Haruna Lipumba akiwawakilisha mamilioni ya wana CUF nchini katika kuonyesha siasa za kistaarabu pale atakapotamka rasmi kuutambua ushindi mardaaaaaaaaaaad wa CCM,na pia tukimsikia kupitia vyombo vya habari DR slaa akilalama kuibiwa kura na kuzipandisha hasira na jazba za wanachadema kuandamana na kumwaga damu ili waingie ,katika serikali kupitia mlango wa nyuma!! hii ndio halisi.karibuni mtukane wana chadema

:A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S thumbs_up:
 
Inaelekea wewe una tatizo linoloitwa ki taalam DYSLEXIA. Unachanganya tarakimu. Huyo doctor wenu wa Mlingotini atapata kura 09!!! Usichanganye tarakimu
 
Watu wengi hapa JF walishaamua nini cha kufanya ikifika 31 October 2010. Ndio maana posts kama hizi hazipati ushabiki sana hapa. Watu wanasubiri kuona nini kinachoendelea na kufuatilia wagombea wanasema nini hasa uko kwenye kampeni zao.

Kama mnauhakika kuwa JK atashinda kwa kishindo kiasi hicho (90%), basi hongereni sana. Ila, walau mimi sitakuwa mmja wa watakaochangia kura hizo.

Kweli kabisa wengi humu jamvini wameamua kwa nakshi zao kumpa kura rais wao mpendwa Dr.Jalkaya M.Kikwete,kwa taarifa niliyoayo zaidi ya 87% ya JF member wamedhamiria kwa dahati kumtosa Dr.Slaa kutokana na kutokuwa na mvuto naye,ila kwa nje wanajifanya wanampenda!
 
Back
Top Bottom