Hii ni kweli kabisa

KAUMZA

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
699
237
Nilikuwa napitia kitabu kinachoitwa This is love. Mwandishi wa kitabu hicho anasema iwapo watu wa jinsia mbili tofauti na wasio na undugu wowote, na kama wanakaa ofisi moja huku viti vyao vikiwa vimetizamana na hivyo kuwafanya nao watizamane(kama mkao wa daktari na mgonjwa), siku ya mwisho hujikuta wakiangukia katika mapenzi.

Onyo: mkiwa ofisini wekeni viti vyenu katika mkao ambao hamtaangaliana. usijaribu
 
Opposite attract..., haijalishi ukiwa karibu na mtu wa opposite sex kwa muda mrefu its likely you will fall for each other... therefore hapo issue sio kukaa pamoja na kuangalina issue its spending a long time together..
 
Kwahiyo hatakama mtu hayuko attracted na mwenzake hata kidogo atampenda!!Nakataa kuamini...labda utueleza kinasema ni sababu gani haswa zinasababisha!
 
Kwahiyo hatakama mtu hayuko attracted na mwenzake hata kidogo atampenda!!Nakataa kuamini...labda utueleza kinasema ni sababu gani haswa zinasababisha!

Sijasoma hicho kitabu lakini lets take it to the extreme..... alafu takurudisha

lets say your worse enemy someone who you will never look twice... kwa bahati mbaya mkaanguka kwenye desert yeye na wewe tu no one else, je hauta- fall for him, (because its like from the worse feeling, kwamba huyu jamaa hafai, utaanza kuona some good things from him..kwamba hivi kumbe huyu yuko hivi, he is not so bad after all)

Now lets take it to a normal scenario.., maybe you are very busy, ni nyumbani with husband and family na kazini with a person you share a desk with. At home the most time you spend with your husband is arguing and sleeping, at work you spend 8 hours with this unattractive person..., whom sababu ya matatizo yako nyumbani he looks somehow better now and understanding than your mate at home... (As you know even devils have their soft spots and no one is 100 % bad everyone has some good qualities... and physical attraction aint everything..) soon or later you will start falling for him
 
Kwahiyo hatakama mtu hayuko attracted na mwenzake hata kidogo atampenda!!Nakataa kuamini...labda utueleza kinasema ni sababu gani haswa zinasababisha!

Hiyo sijaiamini saana though mambo ya kimapenzi kiukweli hayana mbaya wala mzuri,lakini hii yako ndugu kuna haja ya kuitafiti!
 
Inaweza kuwa kweli.....:coffee:

ni kweli hasa wanawake inawatokea hivyo....anaweza asikupende kabisa siku ya kwanza but
mkifanya kazi pamoja,mara lunch.mara jokes...unastukia mtu akikuona na mrembo mwingine anachukia...
unajua kasha fall.....
 
Ndo maana kama hupendi mtu na unaamini hupendi bora ukae mbali nae kabisa, lake usilijue na lako asilijue.

LOVE IS MADE BY PRESENCE!!
 
Hii inawezekana kabisa tena inakuja automatically pale mtu anapokuja na stress za home

Mfano mwanaume anakuja amekasirika ile mbaya kila kitu mkali sasa wanawake sometimes wanakuwa na huruma

Si kwamba anapenda kufanya hivyo ni maumbile atapoanza kumuuliza tatizo ni nini, pole sana ndo dunia,

Mara ooohh umekunywa chai anatumwa muhudumu mara twende lunch punguza hasira na kumbuka huyo mtu

Anaspend a lot of time akiwa na huyo mtu nyumbani its just 5hrs tena hapo kama hapitii kwenye kilauri

Most of the time anakuwa na huyo mtu what next?? Love hata kama ilikuwa haipo itakuja.

Maana akifikiria kurudi home maudhi tele ofisini anakuwa taken care malove lazima yaanze. Mawazo yangu tu lakini
 
duuhh
sisi twa simama au kupiga magoti kazini kwetu..
kwa hiyo nimejitoa lol
 
Nilikuwa napitia kitabu kinachoitwa This is love. Mwandishi wa kitabu hicho anasema iwapo watu wa jinsia mbili tofauti na wasio na undugu wowote, na kama wanakaa ofisi moja huku viti vyao vikiwa vimetizamana na hivyo kuwafanya nao watizamane(kama mkao wa daktari na mgonjwa), siku ya mwisho hujikuta wakiangukia katika mapenzi.

Onyo: mkiwa ofisini wekeni viti vyenu katika mkao ambao hamtaangaliana. usijaribu
hilo halina ubishi hata kidogo na mifano ni mingi sana
 
hujambo marytina?
hebu tupe hiyo mifano mingi uliyonayo!!!!
mi mzima niliwamis for sometimes!kumbuka vigroup discussion vya chuo au shuleni with time nini kilifwata baada ya somo kama sio kutongozana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom