Sasa ni kwa nini kitovu kinachukuliwa kwa umakini sana. Huenda kuna reason behind hizi imani kuhusiana na kitovu! Kwani ulipewa sababu gani za kitovu kufukiwa na ndugu wa ukweni?Hata mimi nimesikia hizo, ila mimi lilinikuta la tofauti, mke wangu alisema kitovu huwa lazima kitupwe/fukiwa na mama mkwe au ndugu yoyote wa kike wa upande wa kiume, ilinipa shida sana kwani mimi si muamini sana wa hizi mila na pia tunatoka makabila tofauti.
Tulikuwa tunaishi Mkoa wa mbali na DSM na ndugu Mhusika alikuwa yupo DSM, yaani ilinibidi nigharimike aende huko kwa ndugu yangu kwa ajili hiyo.
Kwa nini tuzifuate tu ili tuwaridhishe? Kama hakuna madhara yoyote inabidi kuziacha na kuwaelewesha!!Mkuu, Imani ni kitu kikubwa sana..., mfano kama jamii inaamini kitovu kisiangukie kwenye mapaja kikaangukia, malezi ya yule mtoto yanaweza yakapelekea hata yeye akajihisi ndivyo sivyo, na malezi / environment ndio zinazotufanya tuwe jinsi tulivyo..,
Kwahiyo hizi imani nyingine (ambazo hazina madhara) hata kama sio za kweli, ila kuwaridhisha wazazi na mababu inabidi tuzifate tu...,
Kwa nini tuzifuate tu ili tuwaridhishe? Kama hakuna madhara yoyote inabidi kuziacha na kuwaelewesha!!
Mkuu unaweza kumwelewesha bibi au babu yako ?, hapo utaambiwa hauna adabu na unaweza ukapewa laana bure
Mkuu mimi binafsi haya mambo siyaamini..., lakini power of mind ni kubwa na kama jamii nzima itaamini kwamba wewe hauna adabu, na unabishana na babu na bibi zako, lile shinikizo la kwamba umekosa hata mambo yakienda kombo utaanza kurelate na makosa uliyofanya, bila kujijua unaweza ukakuta mambo hayakunyokei na confidence inakwishaKwamba utapewa Laana nayo si ni imani potofu mkuu?
Au unaamini kuwa hilo suala huwa lipo kweli?
Mi siamini, labda mtu ajaribu kunilaani hapa ili nione....
Sasa ni kwa nini kitovu kinachukuliwa kwa umakini sana. Huenda kuna reason behind hizi imani kuhusiana na kitovu! Kwani ulipewa sababu gani za kitovu kufukiwa na ndugu wa ukweni?
Kila kabila lina iman yake kuhusu kitovu. ni iman tu hakuna madhara yoyote me kaka yangu alidondokewa yupo hadi leo na kaoa ana familia. Wengine wakitahiriwa kile walichokatwa kinarudi home kwa babu.
Kila kabila lina iman yake kuhusu kitovu. ni iman tu hakuna madhara yoyote me kaka yangu alidondokewa yupo hadi leo na kaoa ana familia. Wengine wakitahiriwa kile walichokatwa kinarudi home kwa babu.
Twende nazo hivyohivyo inawezekana kuna ukweli ndani yake.Mkuu unaweza kumwelewesha bibi au babu yako ?, hapo utaambiwa hauna adabu na unaweza ukapewa laana bure.., na kama bibi anaamini hivyo alafu usifanye, je akianza kumuangalia mjuu wake kwamba hajakamilika?
Kwahiyo naona ni bora kama mila haina madhara, basi twende nayo hivyohivyo
Kweli kabisa huenda kuna kitu na ukweli wa hizi imani, ujuaji tu unatupa kiburi....Duh hii kali sasa, ila hizi imani zetu si bure kuna kitu nyuma yake ambacho bado hatujafanikiwa kukijua na sisi tunayachukulia haya mambo juu juu tu! Kuna haja ya kufanya utafiti zaidi
Kwamba utapewa Laana nayo si ni imani potofu mkuu?
Au unaamini kuwa hilo suala huwa lipo kweli?
Mi siamini, labda mtu ajaribu kunilaani hapa ili nione....
Kweli kabisa huenda kuna kitu na ukweli wa hizi imani, ujuaji tu unatupa kiburi....