chebi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2012
- 1,737
- 761
jamani mimi mwenzenu usingizi siupata usiku huu yaani nashindwa kuamini tumekula 4-0 dah kweli mpira unadunda kwa wale wezangu hebu nipeni moyo gem ya marejeo tuna tamaa ya kushinda 5-0 iyo ndio ile tamaa ya fisi kumuona mtu anakwenda na anatamaa mkono utaanguka aah!! mimi nasema ndio soka ila barca tuna tatizo la beki washabiki wezangu mtanisamehe kama kuna kitu kimewachoma hapo