CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
HII INAWEZA KUWA NA MSAADA KWAO, KWA KIASI FULANI
1.Najua kwa sasa mko Vyuoni na mnakimbiza kitabu ile mbayana kuna baadhi yenu mko kwenye maandalizi ya TEST, ASGMENT, MITIHANI NAKAZALIKA.
2.MIda si mida mtamaliza na mtaingi mtaani kusaka kazi nakujiajiri
3.KWA SASA TRIENDS YA AJIRA TANZANIA IMEBADILIKA SANA NAIMENZA KUBADILIKA KUANZIA MIAKA YA 2006 NA KUENDELEA NA KUNA SABABU NYINGI SANAZA HALI YA AJIRA KUBADILIKA
a.Matumizi ya Komputer kufanya kazi ambazo zingefanywa naBinadamu
b.Misukosuko ya uchumi Duniani Serikali inashindwa kuajiri
c.Makampuni mengi kuajiri watu kidogo sana ili kupunguzacost za kunendesha kampuni
d.Kuongezeka kwa graduate nchini
e.Graduate wengi kuto kuwa na altenative zaidi ya kutafutakazi/kuajiriwa
f.Kasi ya wafanya kazi wanao stafu ni ndogo kuliko ya wanaoingia sokoni kutafuta kazi
h. Kufa kwaviwanda vingi sana na serikali kushindwa kuvutia wawekezaji wawekeze kwenyeviwanda
WAKUU VIWANDA NDO SEKATA PEKEE DUNAINI INAYO TOA AJIRA NYINGI SANA, MAKEKIWANDA KIMOJA KIKUBWA KINAWEZA KUWA NA WAFANYAKAZI HADI 8000, HIZI KAMPUNIZINGINE NI HAZINA UWEZO WA KUCHUKUA WATU WENGI KAMA VIWANDA NA VIWANDA HATUNA
4.KILIO KIKUBWA CHA GRADUATE KUJIAJIRI NI
a.Mtaji
b.Elimu ya Ujasirimali
c.Mfumo mbovu wa Elimu yetu tangia ile ya awali mpaka yaChuo kikuu
-WAKUU HIVI VIKWAZO TUNAONA HAVINA UFUMBUZI KWA SIKU ZAHIVI KARIBUNI,NA HATA VIKIPATA UFUMBUZI HAVITAWEZA KU ACCOMMODATE WATU WENGIKIASI HICHO, ITAWEZA KU ACCOMDATE WATU WACHACHE NA HAO WENGINE ITABIDI WATAFUTE NJIA ZINGINE, NI KAMA ILIVYO LOAN BOARD
6.TUNAFANYAJE
a.Kuanza mazoezi ya kujiajiri tangia ukiwa chuoni,
b.Anza kuweka misingi ya kujiajiri ikiwa ni pamojakukusanya fund
c.Tengenezeni network au Jiungeni watu kuanzia wan ne mnaosoma kozi zinao fanana au hata kozi tofauti zinazo tegemeana na muunganishenguvu
d.Chuoni ndo mahali pazuri pa kuanzishia harakati zakujiajiri
e.Kama mtakuwa na hata fundi kidogo anzen hapo na muendeleeili mkimaliza chuo hamtakuwa na presha ya mnaanzia wapi,
f.ANZENI KWA KUTAFUTANA WATU WENYE MULEKEO WA KUJIAJIRI NAANZENI HARAKATI SASA WALA MSISUBIRI MPAKA MGARDUATE, SI RAZIMA MUWE WA CHUOKIMOJA.
-Tafutaneni wa kozi zinzao tofautiana lakini zinazotegemeana kwenye wazo lenu la biashara
-Msijiunge wa kozi zinazo fanana, itawaletea shidasana,labda tu wazo lenu litaruhusu hivyo
-Mfano IT/COCMPUTER SCIENSE, MARKETING, ACCOUNT, HR,PUBLICADM, PROJECT PLANING, EDUCATION, ENGENIA, NA Kazalika yaani mnatafutana ambaomtaweza kusapotiana na kusonga mbele, KOZI ZIKO NYINGI ILA NI MEMENTION FEW
-
7.VIPI SWALA LA MTAJI?
a.Hapa ni kusevu kwa kila hali, kuliko kuishi maisha yakushindana chuoni halafu uje usafe mtaani ni bora kujinyima kwa hali na mali.Mtaani ndo kuna maisha na si chuoni
b.HII NJIA NYINGINE INAWEZA ISIWAPENDEZE BAADHI YETU ILA NINZURI SANA
Mkuu bila shaka ukiwa hata sekondari ulikuwa unapatasapoti kutoka kwa watu mbalimbali, Ndugu, Jamaa na marafiki, walikuwawakikutumia fedha za kujikimu.
HATA UKIWA CHUONI UKIWA NA MALENGO UNAWEZA KUSANYA MTAJIKWA NJIA HII, WASUMBE SANA NDUGU ZAKO, RAFIKI, JAMAA NA KAZALIKA NAWANAPOKUTUMIA PORKET MONEY TUNZA KIASI UKIWA NA MALENGO MKUU,
-CHUONI KUNA WATU HUWA WANA PATA FEDHA SANA KUPITIA KWANDUGU ZAO LAKINI MWISHO WA SIKU HUISHIA KUZITUMIA VIBAYA ZOE.
-SO MKUU HII NJIA INAWEZA TUMIKA KUTAFUTA MTAJI, MAKEUKIMALIZA CHUO NA UKAWAAMBIA NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WAKUCHANGIE UANZISHEBIASHARA HAKUNA ATAKAYE CHANGA LABDA KAMA UNATAKA KUOA, SO UKIWA CHUONI NDOSEHEMU PEKEE PA KUTAFUTIA MTAJI MAKE BAADA YA HAPO HUTAWEZA KUWADANGANYA KAMWE
-Mkuu hii ni mawazo yangu na ukiamua kuyatumia kwakutafuta pesa ya kufanyia matanuzi haina shida ila, MAISHA YATAKUWAYANAKUSUBIRI MTAANI
-Wakuu hata ikiangalia trend nying za mikopo duniani na zawatu wanao anzisha biashara zao % kubwa huanza na walicho nacho then ndowanenda KWENYE MABENK, KWENYE SERIKALI ZAO NA SEHEMU MBALIMBALI KUTAFUTA MIKOPOAU GRANT.
-WAKUU NI BENK I CHACHE SANA, HATA KWA WENZETU ZINAZO TOAMIKOPO YA FRESHI STATING YAANI WEWE UNAKUWA NA PROPOSAL TU,
-WATOA MIKOPO WENGI WANATAKA WAONE KUNA JITIHADAZIMEFANYIKA, NA SI KUSEMA MIMI NINA WAZO TU ILA NIMEKOSA MTAJI,
-KAMA UNA AIDIA YA KUJENGA SHULE WANATAKA WAONE HATA TRIPTATU ZA MAWE, MCHANGA NA KAZALIKA KWENYE SITE HAPO NDO WATAAMINI UNAJITIHADA
-HII YA KUWA NA PROPSAL PEKEE KICHWANI AU MKONONI NAKUSUBILI MKOPO NI VIGUMU SANA
-HATA WATU WA NAO AKA KUINGIA UBIA NA WEWE WANATAKA WAONEJITIHADA ZAKO, WANATAKA WOONE UMEANZA NA KUISHIA SEHEMU NA SI UWAAMBIE WEWE UNAPROPOSAL PEKEE, HAPO INAKUWA NGUMU WAKUU
VIPI KUHUSUKUSHINDWA?
1.YA KUSHINDWA KUPO SANA KATIKA BIASHARA LAKINI NI RAZIMAMJASIRIMALI AWE STRONG ENOUGH KUWEZA KUSHINDA
2.HATA WA MVUMBUZI WA BALUBU ALIFELI MARA KAMA 99 KABLA YAKUWEZA KUFANIKIWA KUTENGENEZA BALUBU.
3.HATA MAKAMPUNI MAKUBWA KAMA PEPSI KUNA KIPINDI ILIFIKAMAHALI WAKATAKA KUFUNGA KAZI ILA WALIPAMBANA WAKASIMAMA
4.WAFANYA BIASHARA WENGI WANO FEL MARA YA KWAZA HALAFUWAKAANZ A TENA NDO HUWA WANAFANIKIWA ZAIDI KULIKO WALE AMBAO HAWAJAWAHIKUSHINDWA AU KUFILISIKA
5.NAZANI INGEKUWA KILA MTU ANAE FELI ANAACHA LEO HII VITUVINGI SANA DUNIANI VISINGEKUWEPO, KUNA WAVUMBUZI HADI WALIJITOLEA KUFA ILI TUWAFANIKIWE KATIKA UVUMBUZI WAO, JARIBU KUSOMA HISTORIA ZA WAVUMBUZI UTAGUNDUAKWAMBA WALIVUMILIA MNO
KWA NINI TUSHINDWE HATA KABLA YA KUJARIBU? JARIBUUSHINDWE NDO UONGEE.
Wakuu naamini mkifanya hivyo mtafanikiwa sana na anzenileo hii msisubiri mpaka mgraduate, mkisha graduate itakuwa vigumu sana, wengiwatabadili mawazo na wengine watasafiri kwenda kwao so kuonana itakuwa vigumusana
INATAKIWA TUWE NA C TATU PEKEE
CAPACITY
CONFIDENCE
COMMITMENT
Ukipungukiwa C moja kati ya hizo itakuwa vigumu sanakusonga mbele
YOUR FEATURE IS ALWAYS TO DAY