Hii ni hatari, huyu mwanamke atazua balaa!

Yeah!! Wana macare hatari, alafu ukimuudhi mkeo yeye ndio wa kwanza kuambiwa basi atabembelezwa hapo hadi raha
Hahaha basi hapo huwa mnalegeaa na chochote chaweza tokea..haya mambo nayaona sana maana nina rafiki wa hivyo sema tu watu wengine sisi ni wastaarabu
 
Hahaha basi hapo huwa mnalegeaa na chochote chaweza tokea..haya mambo nayaona sana maana nina rafiki wa hivyo sema tu watu wengine sisi ni wastaarabu
Ukitaka kuenjoy, marry yo best friend.
Hebu anza kamchakato kwa huyo rafiki yako best, hutojutia.
 
Yeah!! Wana macare hatari, alafu ukimuudhi mkeo yeye ndio wa kwanza kuambiwa basi atabembelezwa hapo hadi raha


hahahha wewe alafu una mfano hai kusupport hiii thread! pia na hii tabia mmekwazana na mumeo unaenda kumwambia shemegiii hehehhehe mbaya sana ! yaan ana weza kukuaminisha mumeo anakukosea sana yaan atasema yaan ww ungekuwa mke wangu na hvyo ulivyo blah blah nyiiingi mwisho wa siku atakushika mkono,kesho atakutxt mapeema au kupigia kbs simu kukujulia hali na sie wanawake ndo tunapend mambo hayo kujaliwa kila mara shubaaamit! siku utaombwa uende ukale ice cream,mmhhhhhh! kaeni mbali na mashemej aic!!
 
hahahha wewe alafu una mfano hai kusupport hiii thread! pia na hii tabia mmekwazana na mumeo unaenda kumwambia shemegiii hehehhehe mbaya sana ! yaan ana weza kukuaminisha mumeo anakukosea sana yaan atasema yaan ww ungekuwa mke wangu na hvyo ulivyo blah blah nyiiingi mwisho wa siku atakushika mkono,kesho atakutxt mapeema au kupigia kbs simu kukujulia hali na sie wanawake ndo tunapend mambo hayo kujaliwa kila mara shubaaamit! siku utaombwa uende ukale ice cream,mmhhhhhh! kaeni mbali na mashemej aic!!

Ooooh kumbe!!!
 
Hahaha basi hapo huwa mnalegeaa na chochote chaweza tokea..haya mambo nayaona sana maana nina rafiki wa hivyo sema tu watu wengine sisi ni wastaarabu


na usidhani huyo mwanamke sijui hajatulia basi tu kuna ngv fulan sijui ndo shetan! alwys mie nasemaga wanawake tunahitaj vtu vdg mnooo!epukana nayo
 
na usidhani huyo mwanamke sijui hajatulia basi tu kuna ngv fulan sijui ndo shetan! alwys mie nasemaga wanawake tunahitaj vtu vdg mnooo!epukana nayo
Ni kweli, huwa haina mahusiano na utulivu wa mtu. Ni sumaku tu.
 
Kawaidaa hayo Mambo Kumgegeda Ex wako akati kashaolewa... Na wew kama una mke juaa nae huwa anaenda kwa maex wakee
 
na usidhani huyo mwanamke sijui hajatulia basi tu kuna ngv fulan sijui ndo shetan! alwys mie nasemaga wanawake tunahitaj vtu vdg mnooo!epukana nayo
Kinachofanyika ni mwanaume ambae ni rafiki huwa anadhamiria kabisa kwamba huyu namtega mpaka ataingia mtegoni mwenyewe huwa mnarubuniwa tu na hivyo vitu vidogo ili wakidhi haja zao
 
Back
Top Bottom