Zile zina airbags kama zote na madereva wake wana elimu ya driving na uzoefu piaMbona huu mwendo wa kawaida kabisaa...!! Hivi zile V8 za mhe zikiwa kwenye msafara si huwa zinaenda hata 150km/hr sema tu dogo siku yake ilifikaaa
So sad, mshana naomba picha na video PM kama unazo zaidi.
ni geitaNimeona subaru nadhani hapo ni Arusha hua nawaangalia tu sijui hizo speed hua wanawahi wapi. Siku yako inaweza kua haijafika ila ukaiwahisha.
Geita hiyo kaka sio ArushaNimeona subaru nadhani hapo ni Arusha hua nawaangalia tu sijui hizo speed hua wanawahi wapi. Siku yako inaweza kua haijafika ila ukaiwahisha.
R.I.P, no one to judge you......Say hi! to Paul walker