Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Kujua ni nini? "About" ni nini?
Kaazi kwelikweli!!!!
Kujua ni nini? "About" ni nini?
haya mambo mi nilipata idea tu kwamba kweli yapo pale nilipomuuliza lecturer wangu wa financial planning nilipokua nikichukua MBA . nilitaka kujua mechanism zinazopelekea kusema pesa fulani imepanda au imeshuka na hisa zinavyopanda na kushuka acha ile ya hypothetical ya kusema labda investors wame-switch appetite na kadhalika ambazo kwangu naziona ni very theoretical. akasema uchumi wa dunia unatawaliwa na watu watano na katika hilo mlolongo mzima wa mambo yote unaanzia hapo kwa hao watu watano ila hakuwataja
"KISS MY ASS" MANAKE FUNUA ta-ko UPIGWE BUSu
Acha kudanganya watu, kuna familia 13 za illuminati zinazoendesha dunia na wanaoweka marais marekani ni rockerfeller family
Tatizo kubwa tulilonalo ni kupenda kusikiliza ya kuambiwa bila kufikiri sisi wenyewe
'
Tunamuamini yoyote bila kushughulisha akili zetu hata kidogo
'
Kuna mambo ukikagua na kufuatilia kidogo tu utagundua kuna mambo hayako sawa
'
Kwanini hatufanyi utafiti?
Nimetumia google ku search JF wapi?
Detail gani? detail utupe wewe uliyesema wana miliki half of the world's economy. Uliposema half ulimaanisha kwa kipimo gani? Au unaleta inexact bullshyt hapa?
Unajua half of the world's economy ni kitu gani?
Siwezi kupinga kwa vivid facts kitu kilicholetwa kwa vacuous generalities ambazo zina defy categorization. Nitaanzia wapi kupinga by vivid facts wakati hata wewe hujatuambia unatumia vigezo gani kusema wanamiliku half of the world's economy? Nitanzia wapi?
Taarab umeileta wewe kwa kuanza kusema wanamiliki half of the world's economy bila kutuambia details, umepataje hii figure ya 0.5, na kwa nini ni 0.5 na si 0.6 wala 0.4 ?
Huwaga ndiyo kitu gani? We mlugaluga wa wapi? Mtantura wa wapi unatuharibia Kiswahili wewe? Hujajua Kiswahili unataka kutufundisha kuhusu The Rothchilds?
Na hapa katika post hii unafanya nini?
Do you even know what the word "accountability" means? I doubt that.
Ungejua maana yake usingelitaja hapa.Maana tangu post yangu ya kwanza mpaka hii ninachokuomba ni accountability.
Neno accountability linatokana na "count" etimologically speaking.
Kwamba kwenda kwa hesabu, ku exact mambo, ukisema "wanamiliki nusu ya uchumi wa dunia" utuonyeshe njia uliyotumia kupata hiyo figure ya nusu, na iwe nusu kweli si 0.4 wala 0.6.
Ndiyo accountability hiyo. If you are so accountable, show us your methods and your sources.
Sio unapiga kelele za jumlajumla "wanamiliki nusu ya uchumi wa dunia", ukiulizwa umepataje hiyo figure unaleta abracadabra.
And then you have the audacity to talk "accountability" without even knowing the meaning of the word!
How could you cry for my accountability when you are shying from being accountable yourself? You are not open as to how do you get your figures, you are not open as to what do you mean by "nusu ya uchumi wa dunia", that is not accountable.
If there is anybody who needs more accountability here, it is you, not Kiranga.
Ndio kusema hawa Mbwa ndio waliua Ghadafi, lakini kama ni hivo kule China au North Korea hawawezi kutia timu hata robo na pia Russia hawana chao say kwa Ulaya hii ya makenge sawa ila kwingne kama Mashariki hawana lolote kule...
aaah mi napita tuu na nimeipenda tuu ila kwa upeo wangu mdogo kuna vitu vingi sana hapa duniani vinaenda kama vinatokea tuu ila kumbe vilipangwa kitambo!!!dunia ina siri sana ndugu zangu na yote yanayosemwa hapa yanawezekana....sina uhakika kama hawa jamaa ndio kila kitu hapa duniani bt inawezekana ikawa hivyo!!!!
Inawezekana pia mtu kupita katikati ya ukuta wa matofali bila kuchubuka.
What are you really trying to say?
what am tryin to say is thiz pipo might real be the most influential family in world events and matters!!kuhusu nani atawale wapi kwa wakti gani na mambo mengine kwa manufaa yao esp kama wao ndio wanahisi ni NWO!!nimesoma sehemu na nukuu Paul Johnson writes "[T]he Rothschilds are elusive. There is no book about them that is both revealing and accurate. Libraries of nonsense have been written about them... A woman who planned to write a book entitled Lies about the Rothschilds abandoned it, saying: "It was relatively easy to spot the lies, but it proved impossible to find out the truth." so sina udhibitisho wa yanayosemwa sababu hawa ni secret family labda ndio new world order wenyewe kama inavyosemwa na inawezekana kuna siri pia baina yao wenyewe/wao kwa wao..hakuna mwenye ukweli kuhusu hawa jamaa tofauti na kina gates na kina dangote ambao a to z zao zipo hadharani.kumbuka thiz dudz have been there for centuries co kina gates hawana hata 100 years kwenye mamlaka na pia nahisi kina gates wamewekwa na hawa watu!! nilivyowahi sikia kwa watu flani wajuzi wa mambo hawa jamaathe Rothschilds huwafanyia hila kubwa mataifa na familia zinazoibukia na kuhatarisha utawala wao mf;- sadam na gadafi au akili na mawazo ambazo uhatarisha utawala wa USD!!jamaa wako vizuri na wamejipanga naweza sema they are powerful coz hata wao walitake over baada ya kuzipiku familia kubwa za zamani ambazo zilitawala miaka mingi kuliko wao!!so far hakuna familia iliyotajwa kuwa na nguvu zaidi yao achana hawa matajiri wanaotajwa tajwa tuu..
During the 1800s, when it was at its height, the Rothschild family is believed to have possessed by far the largest private fortune in the world as well as by far the largest fortune in modern world history. The family's wealth is believed to have subsequently declined, as it was divided amongst hundreds of descendants. Today, Rothschild businesses are on a far smaller scale than they were throughout the 19th century, although they encompass a diverse range of fields, including: mining, banks, energy, mixed farming, wine, and charities......
Karne iliyopita.Rothschilds,according to wikipedia,;by far the richest family in the world. In the 1800's. Rumour has it kwamba ni Charles peke yake ndie mtoto wa Philip. Watoto wengine wote wa Elizabeth ni wa Rothschild. Siji ni jambo la hekima kuandika hizi rumours,au ni kutafuta kubanduliwa kucha.
Lakini huu ndio ugomvi wa Rothschilds na every body else.Huu ndio ulikuwa ugomvi kati ya Rothschilds na Czar Nikolas,na ndio sababu ya Russian Revolution. Kwamba Rothschilds ndio wakopeshaji,na nchi ikishindwa kulipa madeni,Rothschild anamwambia mfalme,''Give me your wife.'' Czar Nicholas alikataa,na Rothschilds wakaapa kwamba they will destroy him,and they did.
Lakini familia moja inayoongoza dunia,sasa hivi,kwa research niliyofanya mpaka sasa,kuna unaweza kusema familia moja inaongoza Dunia,ni British Royal Family.
In fact hii New World Order inayozungumziwa sana,plan yake in the final stages,ni kumweka honorary king,a member of the British Royal Family,most probably Prince William.
Dunia inatawaliwa na familia 13
'
Kila familia ina majukumu yake,lakini kuna familia mbili zina nguvu kuliko zingine,familia hizo ni Rockerfeller(Rock-Feller) na Rothschild(Red-Shield)
'
Hitler alikua na asili ya kiyahudi,hakuwahi kuwachukia wayahudi na hakuwahi kuwaua wayahudi mil 6,hizi ni historia za kutunga
'
Hitler ni mmoja kati ya watu waliosaidia "kuundwa" kwa taifa fake la Israel
'
Hivyo dunia imedanganywa sana kuhusu mambo mengi!
Hawa jamaa wanafanikiwa sana sababu wanafanya mambo nyuma ya pazia na kwa usiri mkubwa.sasa hivi wako kwenyd mazungumzo na wakristo na waislamu ili waungane wawe wanasali jumapili na mazungumzo yanaendelea wakishafanikiwa hili basi watakuwa wamemaliza kazi.lakini hili litafanikiwa tu wakisha muondoa assad syria
Karne iliyopita.Rothschilds,according to wikipedia,;by far the richest family in the world. In the 1800's. Rumour has it kwamba ni Charles peke yake ndie mtoto wa Philip. Watoto wengine wote wa Elizabeth ni wa Rothschild. Siji ni jambo la hekima kuandika hizi rumours,au ni kutafuta kubanduliwa kucha.
Lakini huu ndio ugomvi wa Rothschilds na every body else.Huu ndio ulikuwa ugomvi kati ya Rothschilds na Czar Nikolas,na ndio sababu ya Russian Revolution. Kwamba Rothschilds ndio wakopeshaji,na nchi ikishindwa kulipa madeni,Rothschild anamwambia mfalme,''Give me your wife.'' Czar Nicholas alikataa,na Rothschilds wakaapa kwamba they will destroy him,and they did.
Lakini familia moja inayoongoza dunia,sasa hivi,kwa research niliyofanya mpaka sasa,kuna unaweza kusema familia moja inaongoza Dunia,ni British Royal Family.
In fact hii New World Order inayozungumziwa sana,plan yake in the final stages,ni kumweka honorary king,a member of the British Royal Family,most probably Prince William.