ni kweli huwezi kuwa na huruma kwao ni mpaka utakapoelewa tupo katika wakati gani. kuaminiana kumepungu sana, marafiki, ndugu au walio karibu yako wanaweza kukutumbukiza katika majanga bila kujua.Sijawahi kua na huruma ya kweli kwa watumiaji wa ngada maana wote na majuha tu ila kwa unafiki tunajifanya tunawahurumia ila hawa wehu walitakiwa wale poda mpaka wafe wenyewe ili wawe mfano kwa wengine(nimeongea ya moyoni)