Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,383
- 33,041
Yaani inabidi Framenomics itungiwe sheria kama ya EWURA iwe na Regulatory body yake. Maana inaonekana ni eneo nyeti linaloweza kuitoa nchi kiuchumi tukafika uchumi wa juu wa kati chapLabda katiba mpya inaweza ikaja na suala la framenomics
Hiyo regulatory body iitwe
"Mamlaka ya kuthibiti na Kusimamia Frame Tanzania"
Serikali ikiamua kila frame inatoza 10,000 kwa mwezi itapata mpunga wa kutosha