Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Helen Kijo-Bisimba (Katikati) akitoa tamko la Asasi za Kiraia kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea na Serikali kutotoa taarifa za kina kuhusu mgomo huo. Asasi hizo zilifunga Barabara ya Ali Hassan Mwinyi eneo la Salenda jijini Dar es Salaam.