Mount Kibo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,956
- 551
hivi inawezekana ukawa unaniita kafiri halafu ukataka kodi yangu ichangie mahakama ya imani yako?, je quaran inaruhusu kafiri achangie mahakama ya kadhi?
hata mimi nashanga
hivi inawezekana ukawa unaniita kafiri halafu ukataka kodi yangu ichangie mahakama ya imani yako?, je quaran inaruhusu kafiri achangie mahakama ya kadhi?
Wewe ni Mohamed Hussein Daima " Mmachinga" Yule striker bora kabisa wa Yanga aliyepata kutokea katika nchi hii katika kipindi cha mwaka 1995-2000?Mkuu Mkirua Hiyo ndio Kete aliyotumia Kikwete kupata kura zetu huku misikitini badala ya kutuhamasisha tujenge shule wanatudanganyia mahakama za kadhi wenzetu wakristo mnasonga mbele tuu
Hili la mahakama ya kadhi limekaaje mbona tulihamasishana sana lakini kwenye rasimu ya katiba limekwepwa
hili la mahakama ya ardhi mlilipigia kelele na nani! mlishambiwa ruksa kulianzisha but lisitegemee mkono wa serikali, coz ni mambo ya kiislamu hayo!
Mkuu ngoja nitafute kitufe cha LIKE..Mgogoro unafukuta kwa sasa kati ya serekali na baadhi ya waislam ni kuhusu Bakwata,sasa inakuaje watake serekali iwaundie mahakama ya kadhi wakati Wanataka serekali ijitoe Bakwata..Si mlishaambiwa kwamba mahakama ya kadhi RUKSA lakini undeni wenyewe nje ya mfumo wa serikali.
Serikali iliwaundia BAKWATA hadi leo mnalalamika, sasa tena mnataka SERIKALI iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI, hivi nyinyi watu mnafahamu mnachokitaka?!
Si mlishaambiwa kwamba mahakama ya kadhi RUKSA lakini undeni wenyewe nje ya mfumo wa serikali.
Serikali iliwaundia BAKWATA hadi leo mnalalamika, sasa tena mnataka SERIKALI iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI, hivi nyinyi watu mnafahamu mnachokitaka?!
Hili la mahakama ya kadhi limekaaje mbona tulihamasishana sana lakini kwenye rasimu ya katiba limekwepwa
Huo ndiyo uhuni wa ccm,kwenye kampeniya urais walituahidi litashughulikiwa lakini wametuona sisi kama watu wasio na akili,wametufanya ngazi ya kufanikiwa malengo yao ya kisiasa.
Hapo sasa inabidi tubadilike habari ya kutumiwa kama ngazi na wanasiasa kwa malengo ya vyama vyao sasa iwe mwisho.
Waislamu walishiriki katika kutoa maoni kuhusu kurejeshwa Mahakama ya Kadhi lakini hakuna aliyetegemea kuwa Warioba atatupa Mahakama ya Kadhi!
Ninachotaka kusema ni kuwa hakuna jipya! ilitegemewa na Waislamu kuwa suala la Mahakama ya Kadhi litatupwa, lakini kama wasemavyo wazungu There is always plan B.
mambo yote yanafanyka kama ALLAH alivyo kadiria mahakama ya kadhi muda wake ukifka tuta ipata tu. assalam alykum
...kaka wanasiasa pia wana mawakala wao miongoni mwetu ambao ni wengi katika maimamu na masheikh wetu...! lazima tuwaambie mbele ya nyuso zao kwamba "sisi waislam tunataka siasa ya kiislamu, na si uislam wa kisiasa"...!....ktk nchi yetu, waislam kwa umoja wetu, hatutakuwa na matatizo na serikali wala wenzetu wasiokuw waislam kama tu, tutasimama katika siasa ya kiislam, na kuachana na uislam wa kisiasa ambao tunaushuhudia miongoni mwa "wanasiasa na vibaraka wao ktk misiki yetu".....!Huo ndiyo uhuni wa ccm,kwenye kampeniya urais walituahidi litashughulikiwa lakini wametuona sisi kama watu wasio na akili,wametufanya ngazi ya kufanikiwa malengo yao ya kisiasa.
Hapo sasa inabidi tubadilike habari ya kutumiwa kama ngazi na wanasiasa kwa malengo ya vyama vyao sasa iwe mwisho.
...wanasiasa na masheikh na maimamu wanaoshupalia kuifanya mahakama ya kadhi kuwa jambo la kuamuliwa na katiba, wote wako katika siasa ileile!(kuwagandamiza waislamu)....! Waislam tunaihitaji mahakama ya kadhi! Uwezo wa kuiunda tunao!na uwezo wa kuigharamia kulingana na uwezo wetu tunao! Uwezo wa kulinda utekelezaji wa hukumu na maamuzi ya mahakama zetu hizo tunao ktk kiwango cha kuwatisha mpaka maadaui wa imani yetu!!!!...tunasubiri nini sisi waislam wa eneo hili la mama afrika? Serikali? Au msaada wa waarabu? Hatuwezi kufanya kama kaka zetu wa "nation of islam", katika amerika, au pagad ktk cape town walivyofanya ?
Si mlishaambiwa kwamba mahakama ya kadhi RUKSA lakini undeni wenyewe nje ya mfumo wa serikali.
Serikali iliwaundia BAKWATA hadi leo mnalalamika, sasa tena mnataka SERIKALI iwaundie tena MAHAKAMA YA KADHI, hivi nyinyi watu mnafahamu mnachokitaka?!