Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
na siku hizi wasio na mbegu za kutosha huila mibichi wakiambiana kwamba inaongeza nguvu ya kushughulika.wanaiita stata.
a.k.a CHARGER
na siku hizi wasio na mbegu za kutosha huila mibichi wakiambiana kwamba inaongeza nguvu ya kushughulika.wanaiita stata.
Na hii kitu bado wanaichoma mitaani?
Hiyo chenza tu ndio huwa na msimu lakini Mahindi ni hayana msimu yanauzwa kila day.... Nilikuwa nala hadi meno yakawa yananuma nikapunguza
Mkuu BARRY Yakhe usikasirike mimi ninauliza nipate kujuwa ninasikia watu wameipa jina eti (Sukuma siku mbele) mimi ninaijuwa kwa jina la Mihogo kumbe kuna jina lingine ?Wewe unakula bado hiyo sukuma siku mbele? :smile-big:
Mkuu Bishop Hiluka Samahani kwa kukutia njaa ina maana hakuna hii kitu hapo mjini? imekuwa Big deal? Mimi sipo bongo ndio maana nimeiulizia nina hamu nayo miaka 40 iliyopita ndio nimekula sijala tena hivi karibuni. Nipo nje ya nchi Mkuu.Jamani, posti zingine za kutiana njaa tu, leo MziziMkavu umeniharibia
kabisa sikukuu yangu kwa kuwa nimelazimika kutembea mji mzima nikisaka
hii kitu bila mafanikio...
Mkuu Bishop Hiluka Samahani kwa kukutia njaa ina maana hakuna hii kitu hapo mjini? imekuwa Big deal? Mimi sipo bongo ndio maana nimeiulizia nina hamu nayo miaka 40 iliyopita ndio nimekula sijala tena hivi karibuni. Nipo nje ya nchi Mkuu.
Hii Kitu nimekula miaka 40 iliyopita wakati nilikuwa ninakwenda shule Mjini hapo Dares-salaam mpaka leo bado wanaichoma hapo mjini jamani nauliza?
Sukuma siku mbele.... Udenda unanitoka nime i miss siku nyingi jamani.................................
Hii Kitu nimekula miaka 40 iliyopita wakati nilikuwa ninakwenda shule Mjini hapo Dares-salaam mpaka leo bado wanaichoma hapo mjini jamani nauliza?
Sukuma siku mbele.... Udenda unanitoka nime i miss siku nyingi jamani.................................
Mkuu@blackwizard hiyo picha nimeipata kwenye website moja ya WaZaznzibar mkuu sipo bongo nitakuchokeshaje? hahahahahah umenifurahisha sana.hii picha ulipiga miaka arobaini iliyopita?usituchoshe hapa
mkuu@blackwizard hiyo picha nimeipata kwenye website moja ya wazaznzibar mkuu sipo bongo nitakuchokeshaje? Hahahahahah umenifurahisha sana.
Acha fujo madame x,Ni miaka 40 iliyopita kwa hiyo sasa anaweza kuwa na umri wa 47++ assuming alianza kula akiwa std 1 kwa umri wa miaka 6/7 .Kuna watu wamekula chumvi nyingi, 40yrs wao ndo school boys mmmmh