Hii inawahusu wanaume wenzangu wote wenye haiba za kike.

Shida na raha

JF-Expert Member
Aug 8, 2014
3,774
3,460
1. Mwanaume unajichubua una dressing table kabisa unajua macrem yote ya kina Mama * wewe ni jipu !*
2 .Mwanaume unachati na msela afu unamwita wangu /my *Tabia za kishoga hizi *
3. Mwanaume unaogopa mende , pany , giza au kulala mwenye ! WW NI MWANAUME HEWA
4. Mwanaume uko too submissive kwa mkeo . Yaani Mke. ndio anakuamulia cha kufanya . Umeshikiliwa akili ! UNALELEWA
5. Mwanaume unaangalia nirvana , Wanawake life , na shilawadu tunakutakia happy women 's day to you
6. Mwanaume unaoga oga sana kama Dada zako [mara 3 kwa siku ] unakaa bafuni nusu saa ! happy women's day to you
7. Mwanaume una andika text unajibu " ,k , pw , thx , unaandika ' Jomooni , akuu , ww pia tukutakie happy women's day to you
9 . Mwanaume unapiga selfie unang 'ata lips! happy women 's day to you
 
Hiyo namba 7 kuna some of my friends natamani waione,huwa nachukia sana hayo majibu aisee..

Alafu ananijibu yeye anaona kawaida kabisa,that's not normal aises
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom