Hii imekaaje?

lusanasaimon

Senior Member
Jan 19, 2023
111
264
Mambo vp wadau
niende kwenye swali dialect

Hivi nikwanini mwanaume anapo pata mwanamke (girlfriend) mwenye kauchumi kazuri akawa anamjali (kumuhonga) kama vile kumpa vipesa, kumnunulia mavazi nk. tena sometimes huyo mwanaume anampiga vimizinga akiwamba (kufulia) mwanamke anampa, inakuja kutafasirika niupendo?

Lakini kwa mwanamke kumuomba mwanaume (boyfriend) wake pesa, au amnunulie chochote inatafasirika hana mapenzi ya dhati ni mchunaji ?
 
Mambo vp wadau
niende kwenye swali dialect

hivi nikwanini mwanaume anapo pata mwanamke (girlfriend) mwenye kauchumi kazuri akawa anamjali (kumuhonga) kama vile kumpa vipesa, kumnunulia mavazi nk. tena sometimes huyo mwanaume anampiga vimizinga akiwamba (kufulia) mwanamke anampa, inakuja kutafasirika niupendo?

lakini kwa mwanamke kumuomba mwanaume (boyfriend) wake pesa, au amnunulie chochote inatafasirika hana mapenzi ya dhati ni mchunaji ?
Kwani kuchuna ni dhambi?
Chukulia ni neno tu kama neno lingine chief
Usiumize kichwa
 
Mambo vp wadau
niende kwenye swali dialect

Hivi nikwanini mwanaume anapo pata mwanamke (girlfriend) mwenye kauchumi kazuri akawa anamjali (kumuhonga) kama vile kumpa vipesa, kumnunulia mavazi nk. tena sometimes huyo mwanaume anampiga vimizinga akiwamba (kufulia) mwanamke anampa, inakuja kutafasirika niupendo?

lakini kwa mwanamke kumuomba mwanaume (boyfriend) wake pesa, au amnunulie chochote inatafasirika hana mapenzi ya dhati ni mchunaji ?
Wewe ni ke au me?
 
Back
Top Bottom