Hii imekaaje? Wanawake kutongoza Wanaume

Ok,..kumbe ndio maana wanawake wanaotongozwa tongozwa sana ,wasipokua na masimamo, huwa wanaishia kugongwagongwa hovyo...daah,...Hatari sana hii kitu.
Hio mbn kawaida wadada wa sasa kugongwa kwao ni kama fashion hv kuna dem nilikuta kaorodhesha wanaume waliomla kilichonishangaza kuna baadhi alikuwa hawajui majina labda alikuwa ameandika sehem walipokuwa wanaish mse*g yule
 
Tuma picha tuone ndio yanakuwaje?
Mm pia niliwai kumkorofisha Ex_wangu kiasi Nilijua siwezi samehewa abadani nikaomba chance tuonane ana Kwa ana nimuulezee kwanini nilimkosea siku nime enda kuonana nae.....

Nilisamehewa Kwa kuangaliana only EYE CONTACT ๐Ÿ‘๏ธ.... the only thing alicho niambia na macho mazuri na Lips nzuri hii point nimewai kuambiwa na watu wengine wengi kiasi Cha kuthibitishwa na shirika la viwango vya ubora Tanzania (TBS)
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mm pia niliwai kumkorofisha Ex_wangu kiasi Nilijua siwezi samehewa abadani nikaomba chance tuonane ana Kwa ana nimuulezee kwanini nilimkosea siku nime enda kuonana nae.....

Nilisamehewa Kwa kuangaliana only EYE CONTACT .... the only thing alicho niambia na macho mazuri na Lips nzuri hii point nimewai kuambiwa na watu wengine wengi kiasi Cha kuthibitishwa na shirika la viwango vya ubora Tanzania (TBS)
Tumeni picha...haya maneno matupu hatutaki
 
Kwema wadau?

Sasa hivi kumezuka tabia ya wanawake kutongoza Wanaume.

Yani mwanamke akimpenda Mwanaume, anafunguka wazi bila woga kabisa,...Hii imekaaje wadau.

Nimei experience hii hali zaidi ya mara nne tangu January, (Kwangu naona ni kama maajabu sana,....au nina tatizo labda?...au nimetupiwa majini ya mapenzi labda?)

Note: Mimi sio mzinzi,...I mean, siendeshwi na tamaa za Mwili, ; Ninazo nguvu za kuucontrol mwili wangu jinsi ninavyotaka , sio wenyewe unicontrol Mimi. ( Naona ni kama nawaumiza hawa watu kwร  kutojali kabisa hisia / maneno yao)
It is against the law of nature kwa mwanaume kutongozwa na mwanamke halafu akamkataa.

Unaanzaje kumkataa? Mimi akanitongoza kabla hajamaliza tayari atajikuta kashaning'inizwa.

Ila kama sitakuwa tayari kudumu naye nitamueleza bayana kabla ya tendo kwamba tuwe marafiki wa faida tu. Akinihitaji nitamtimizia haja yake, na mimi nikimuhitaji basi anitimizie pia.

Asipokuwa tayari basi sitokuwa tayari kufanya naye chochote. Unajua ni kwanini nafanya hivi? Sitaki kumuachia uchungu moyoni. Kuna wakati machozi ya mwanamke yanaweza yafanye mambo yako yasiende maishani.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom