Hii hi-speed ya CUF kudai katiba mwaka huu imetoka wapi?

Meshacky

Member
Oct 19, 2010
50
0
wanazuoni naomba mchango wenu. pamoja na nia yao pengine nzuri, sina uhakika ,CUF wameonyesha speed kubwa sana ya kudai katiba mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. pamoja na yote wamekimbilia kumpelekea rasmu ya katiba mtu ambaye wote tunajua hana interest na katiba mpya(Celine dione) na wanadai serikali tatu. Swali hii hi-speed imetoka wapi mwaka huu? Ni kipi walichoona mwaka huu ambacho hawakukiona miaka mingine? Je ni CUF ipi inayodai serikali tatu? ya zanzibar au ya bara? kama ni ya zanzibar wao sera yao ni serikali moja, hilo liko wazi. kama ni ya bara ina maana kuna CUF 2 kwa sababu ya sera tofauti. Naomba CUF zote mbili wanijibu kupitia JF nia siyo mbaya ni kuelimishwa
 
CUF Zanzibar inataka serikali moja!

Iko wazi wapi?

wanazuoni naomba mchango wenu. pamoja na nia yao pengine nzuri, sina uhakika ,CUF wameonyesha speed kubwa sana ya kudai katiba mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. pamoja na yote wamekimbilia kumpelekea rasmu ya katiba mtu ambaye wote tunajua hana interest na katiba mpya(Celine dione) na wanadai serikali tatu. Swali hii hi-speed imetoka wapi mwaka huu? Ni kipi walichoona mwaka huu ambacho hawakukiona miaka mingine? Je ni CUF ipi inayodai serikali tatu? ya zanzibar au ya bara? kama ni ya zanzibar wao sera yao ni serikali moja, hilo liko wazi. kama ni ya bara ina maana kuna CUF 2 kwa sababu ya sera tofauti. Naomba CUF zote mbili wanijibu kupitia JF nia siyo mbaya ni kuelimishwa
 
This is the habits of hypocrites, dont you know these people. Hahahahahahahahahahaaaa
 
Nami nilishangaa sana kihelehele cha cuf kupeleka eti katiba yao kwa serikali. Tangu lini alkaida wanaijua katiba!!! Tehe tehe tehehee!
 
wengi mnaoongea hapa hamjui siasa, hamuijui CUF, na hamna hoja!!

Siasa: is a game of chance!!! thats is what politicians always do!!
CUF: is not first time to demand this, wameenda mbali sana na kuitaka serikali ya Tanganyika, hence kuvunja muungano!!! na hili ni sifa kwao!

sasa chuki zenu hizi zitaharibu kila kitu, mlitaka wapeleke chadema? wanasubiri nini??
 
wengi mnaoongea hapa hamjui siasa, hamuijui CUF, na hamna hoja!!

Siasa: is a game of chance!!! thats is what politicians always do!!
CUF: is not first time to demand this, wameenda mbali sana na kuitaka serikali ya Tanganyika, hence kuvunja muungano!!! na hili ni sifa kwao!

sasa chuki zenu hizi zitaharibu kila kitu, mlitaka wapeleke chadema? wanasubiri nini??[/QUOTE]

Wanasubiri nini? Apatikane consultant (Dr. Kitila) halafu ndio wapeleke.

Hope nimekujibu..vipi mkuu habari za siku nyingi?
 
wanazuoni naomba mchango wenu. pamoja na nia yao pengine nzuri, sina uhakika ,CUF wameonyesha speed kubwa sana ya kudai katiba mara tu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu. pamoja na yote wamekimbilia kumpelekea rasmu ya katiba mtu ambaye wote tunajua hana interest na katiba mpya(Celine dione) na wanadai serikali tatu. Swali hii hi-speed imetoka wapi mwaka huu? Ni kipi walichoona mwaka huu ambacho hawakukiona miaka mingine? Je ni CUF ipi inayodai serikali tatu? ya zanzibar au ya bara? kama ni ya zanzibar wao sera yao ni serikali moja, hilo liko wazi. kama ni ya bara ina maana kuna CUF 2 kwa sababu ya sera tofauti. Naomba CUF zote mbili wanijibu kupitia JF nia siyo mbaya ni kuelimishwa

Mkuu,

Je huu ni utaratibu mpya wa vyama vya siasa TZ?

Kuwa na CUF bara na CUF Zanzibar?
CCM bara na CCM Zanzibar?
CHADEMA bara na CHADEMA Zanzibar?
NCCR bara na NCCR Zanzibar?

Au sikukufahamu hapa!!???
Utaratibu huu umeanza lini?
 
Sasa hapa ndio umma utajuwa ni kipi chama makini Tanzania. Mshangao huu unaonyesha kama CUF kumbe ndio chama kinachojuwa kinachosema na kinasimamia. Nilitoa mfano juzi kuwa kwenye ilani za uchaguzi CUF ndio chama pekee kilichoweza ku-link the projected revenue na expenditures for the coming 5 years kama wangechaguliwa. Walieleza kwa ufasaha sorouces na projected amount. Ila vyama vingine (of-course ikiwemo CHADEMA) waliishia kusema tu watatoa elimu bure, mfuko wa Cement shilingi alfu 5, n.k bila kueleza sources zake na application zake.

Tukija kwenye hili la Katiba..kwa muda mrefu CUF walijipanga na wakatengeneza rasimu yao ambayo kama wangechaguliwa wangeweza kushawishi wananchi waiunge mkono na tukaona mabadiliko ya kweli Tanzania hii. Vyama vingine (CHADEMA inclusive) vimeishia kusema tu kama vinataka Katiba mpya bila hata yakuwa na mifano ya hiyo katiba wanayoitaka licha ya kusheheni wanasheria wanaojivunia (Tundu Lisu na Marando).

Hapa tunapata conclusion moja tu kama jamaa yangu mmoja alivyosema humu kama CHADEMA si chama makini ila ni Pressure Group iliyojaa ma whistle blowers. Wao wacha wapate mabomu tu wayalipue na kudandia hoja tu. Mara waandamane kwenye umeme,mara ufisadi,mara mara.
 
Swali hii hi-speed imetoka wapi mwaka huu? Ni kipi walichoona mwaka huu ambacho hawakukiona miaka mingine?


Hee politics!!! It does not need a rocket scince!!! Remember ANY SERIOUS POLITICAL PARTY IS A GOVENMENT IN WAITING (PS 101). Just dont forget Pembans died because of that. Again actions speaks louder than words!!! katiba mpya katiba mpya.. where is yours guys??
 
Ukiangalia watu wote wanaoitetea CUF humu jamvini ndio hao hao waoitetea CCM na kuiponda CHADEMA na ndio hao hao wanaoingiza udini katika mijadala humu jamvini
 
Shalom na heri ya Mwaka Mpya .
Naona mabishano ila sijaona CUF wamewahi kitu gani ? Kwani kupeleka rasimu ina maana wao wame impact kuandikwa Katiba mpya? Waliko peleka ndiko haswa kunakotakiwa rasimu kupelekwa ? Mimi nadhani kwamba kelele hizi pamoja na CUF ni kutaka kufunguliwa kwa mjadala rasmi na kuafikiwa kuandikwa rasimu ambayo inaweza kuwa na mawazo machache , mengi au hakuna kabisa toka katika rasimu hiyo ya CUF.
Kuna kushindana mbele ya wapiga baadaye ? Ni mtaji kumbe ?Hebu tujadili tena bila usongo na kuacha tabia ya u mimi ama u sisi inapelekea matamshi ya ajabu kwenye midahalo in the end.
 
Shalom na heri ya Mwaka Mpya .
Naona mabishano ila sijaona CUF wamewahi kitu gani ? Kwani kupeleka rasimu ina maana wao wame impact kuandikwa Katiba mpya? Waliko peleka ndiko haswa kunakotakiwa rasimu kupelekwa ? Mimi nadhani kwamba kelele hizi pamoja na CUF ni kutaka kufunguliwa kwa mjadala rasmi na kuafikiwa kuandikwa rasimu ambayo inaweza kuwa na mawazo machache , mengi au hakuna kabisa toka katika rasimu hiyo ya CUF.
Kuna kushindana mbele ya wapiga baadaye ? Ni mtaji kumbe ?Hebu tujadili tena bila usongo na kuacha tabia ya u mimi ama u sisi inapelekea matamshi ya ajabu kwenye midahalo in the end.

Alaa!! kumbeee
 
Mkuu,

Je huu ni utaratibu mpya wa vyama vya siasa TZ?

Kuwa na CUF bara na CUF Zanzibar?
CCM bara na CCM Zanzibar?
CHADEMA bara na CHADEMA Zanzibar?
NCCR bara na NCCR Zanzibar?

Au sikukufahamu hapa!!???
Utaratibu huu umeanza lini?
Bara ndio nchi gani? au sehemu gani?, ukitaja Tanzania unamanisha Zanzibar na TANGANYIKA ndio utaeleweka. kwanini hamjisikii fakhari kutaja jina la nchi yenu mkataa kwao..... wazenj wajanja! wamewapiga bao wa Tanganyika:party:
 
Swali hii hi-speed imetoka wapi mwaka huu? Ni kipi walichoona mwaka huu ambacho hawakukiona miaka mingine?


Hee politics!!! It does not need a rocket scince!!! Remember ANY SERIOUS POLITICAL PARTY IS A GOVENMENT IN WAITING (PS 101). Just dont forget Pembans died because of that. Again actions speaks louder than words!!! katiba mpya katiba mpya.. where is yours guys??

Pembans......from which country.... a tribe..., or a nationality
 
Ukiangalia watu wote wanaoitetea CUF humu jamvini ndio hao hao waoitetea CCM na kuiponda CHADEMA na ndio hao hao wanaoingiza udini katika mijadala humu jamvini


Ndiyo utetezi wako? mimi ni mkristo tena mlokole!co-pastor if you want to know! wewe ndio unaconfirm hilo kwa udini wako, mimi kwangu naangalia goli tu!
 
..hali yoyote ile ya kurushiana vijembe kati ya CUF na CDM inawafaidisha mahafidhina ndani ya CCM.

..kuna watu wengi sana wameshughulika na suala hili la katiba.

..Majid Mjengwa ametukumbusha kwamba waasisi wa harakati hizi ni pamoja na watu kama Chifu Fundikira[r.i.p], Mabere Marando, etc etc.

..kitu cha msingi hapa ni kuweka maslahi ya nchi mbele ya maslahi ya vyama na watu binafsi.

NB:

..CUF wana historia ya kushughulika na masuala ya katiba kutokana na ukweli kwamba asili ya chama hiki ni Zenj. mgogoro wa kikatiba unachakua nafasi kubwa sana ya siasa za Zenj.

..Chadema kimeanzishwa na retired civil servants, wao tangu mwanzo walijikita ktk kukosoa sera za uchumi, na masuala ya kiutendaji na kiutawala. sioni ajabu kama hawata kuwa advanced kama wenzao ktk hoja za katiba mpya.

..NCCR ilikuwa na uongozi uliosheheni wanasheria waliobobea. kuna uwezekano wakawa na hoja nzito na zenye manufaa kuhusu katiba mpya.

..kama sijakosea Mabere Marando alipendekezwa na Mwinyi awepo kwenye tume ya Jaji Nyalali lakini akakataa uteuzi huo.
 
Bara ndio nchi gani? au sehemu gani?, ukitaja Tanzania unamanisha Zanzibar na TANGANYIKA ndio utaeleweka. kwanini hamjisikii fakhari kutaja jina la nchi yenu mkataa kwao..... wazenj wajanja! wamewapiga bao wa Tanganyika:party:
Hivi bara (Tanganyika) tukiamua msile nyie mtakula kweli? hakuna bao lolote ambalo visiwani wametupiga bara, bado nyie magwata tu.....
 
Back
Top Bottom