Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,350
Huu wa Kwanza kabisa ni mkutano wa ngazi ya Kata wa ccm kwenye Kata ya Mwalo huko Mbinga
Unaofuatia ni mkutano wa ACT WAZALENDO , huu ni ngazi ya Jimbo Songea Mjini
Huu wa mwisho ni Mkutano wa ngazi ya Kata wa Chadema , ni Kata ya Mashine Tatu .
Picha zote hizi zimepigwa zaidi ya saa 10 Jioni .
Sasa wewe Toa tu maoni yako halafu ujiondokee .
Unaofuatia ni mkutano wa ACT WAZALENDO , huu ni ngazi ya Jimbo Songea Mjini
Huu wa mwisho ni Mkutano wa ngazi ya Kata wa Chadema , ni Kata ya Mashine Tatu .
Picha zote hizi zimepigwa zaidi ya saa 10 Jioni .
Sasa wewe Toa tu maoni yako halafu ujiondokee .