Hakuna aliyeshindwa may huelewi hata sababu za mgao
Pili aliyeharibu mnyororo wa thamani wa Sukari ni Magufuli na ndio alipitisha sheria ya kipumbavu inasumbua Hadi Leo hii.
Haya naona upo on duty, Magufuli alithibiti mgao, alithibiti mifumuko ya bei,mnaleta majibu ya kichawa kw kuramba viatu vya watawala.
Binafsi Mimi Islam ila kila awamu ya muislamu ikija huja na madudu ya hovyo sana,wakrsito wakiingia ndio wanajenga uchumi wa nchi!!
Fedheha sanakwa tawala za ndugu zetu!!