Watz ni heri kuwa mbunge tu, Maana kama mbunge kwa kipindi hiki amelipwa mil 90 ( Mwananchi Source Today) . Chukua mili 90 mara wabunge 360, Hii nchi Jamani wengine tunaliwa tu.
Kweli ni heri nijiandae kugombea mwaka 2015. Kule ndio kuna matunda hizi kazi zetu za mil 1 kwa mwezi ni sawa na hakuna.
KWELI TUTAFIKA
Kweli ni heri nijiandae kugombea mwaka 2015. Kule ndio kuna matunda hizi kazi zetu za mil 1 kwa mwezi ni sawa na hakuna.
KWELI TUTAFIKA