Afande Fojuman
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 650
- 534
Haya tulia usubir wa kimataifa arudi kilelen,Natumia king'amuzi cha Azam, licha ya hilo, aache unazi, hatofika mbali kwa gia hiyo!
Haya tulia usubir wa kimataifa arudi kilelen,Natumia king'amuzi cha Azam, licha ya hilo, aache unazi, hatofika mbali kwa gia hiyo!
Hana jinsi, huwa anafanya hivyo simba ikicheza na mwingine ila utamtambua akiwa anaongelea simba na yanga, au akifanya mlinganyo wowote wa simba na yanga, LAZIMA ataibeza simba na kuifagilia yanga!
mkuu kwa taarifa kivuyo ni mwanachama simba sasa anakuaje mnazi wa yanga acha majungu jamaa anapiga kaziHemed Kivuyo kwanza style yako ya utangazaji ya kuanza na SIMULIZI ZISIZOELEWEKA kwa wengi ni kama unatwanga maji kwenye kinu.
Pili, umeshindwa kuficha unazi wako ktk matangazo yako na kwa kigezo hiko sidhani kama utatoboa ktk hiyo fani ya uanahabari za michezo. Usijixhanganye na kina Michael Owen, Paul Merson, Jamie Carragher na wengine, wale ni wachambuzi tu wa soka, sio waandishi wa habari za michezo!
Nimemsikia TENA leo akiiponda Simba kuwa eti ni miaka mitatu sasa haijawahi kukaa kileleni zaidi ya masaa 24! Eti itatolewa na Yanga ambayo wako WANAJIFUA KWELI KWELI kurudi kileleni.
KWANI TOKA MECHI YA JANA YA SIMBA, yamepita masaa mangapi?? Acha ushamba wa unazi, piga kazi!
Haiwezekani akawa simba!mkuu kwa taarifa kivuyo ni mwanachama simba sasa anakuaje mnazi wa yanga acha majungu jamaa anapiga kazi
Mmmh si kweli. Akiwa mwanachama naacha kuishabikia...!!!mkuu kwa taarifa kivuyo ni mwanachama simba sasa anakuaje mnazi wa yanga acha majungu jamaa anapiga kazi
Huyu jamaa MKUDA SANA alikosewa kuwa dume..Hemed Kivuyo kwanza style yako ya utangazaji ya kuanza na SIMULIZI ZISIZOELEWEKA kwa wengi ni kama unatwanga maji kwenye kinu.
Pili, umeshindwa kuficha unazi wako ktk matangazo yako na kwa kigezo hiko sidhani kama utatoboa ktk hiyo fani ya uanahabari za michezo. Usijixhanganye na kina Michael Owen, Paul Merson, Jamie Carragher na wengine, wale ni wachambuzi tu wa soka, sio waandishi wa habari za michezo!
Nimemsikia TENA leo akiiponda Simba kuwa eti ni miaka mitatu sasa haijawahi kukaa kileleni zaidi ya masaa 24! Eti itatolewa na Yanga ambayo wako WANAJIFUA KWELI KWELI kurudi kileleni.
KWANI TOKA MECHI YA JANA YA SIMBA, yamepita masaa mangapi?? Acha ushamba wa unazi, piga kazi!