Jamani m a girl n nina mpenzi na ninampenda sana but hanijali kiukweli mimi ndiye ninayemcal kila cku wakati nasoma,kama mnavyojua hali ya uanafunzi na yeye amepata temporary work ya civil engineering in a certain company..jamani me mwenzenu cwezi kuomba pesa nina aibu so nilimuambia akanitel hawezi kujua if nina shida bila kumuomba pesa..nifanyeje?