Dodo18
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 315
- 93
Helo Peeps.. Since Last Year Up Until Few Months, Nilikua Kwenye Uhusiano Na Mtu Maarufu... We Met Through A Mutual Friend At A BBQ And The Attraction Was Spot On For The Both Of Us.. Anywhoo Yeye She Travels Most Of The Times Kikazi And Since We Are Couple, We Do What Other Normal Couples Inlove Do When Separated By Distance Including Sending Provocative Pictures (NUDE) To Eachother Kwenye Blackberry (BBM). Anyway To Make The Long Story Short, Last Saturday Nimeibiwa Simu Yangu Club Ya Runway Yani Nilichanganyikiwa And Stil Am Sababu Hizo Picha Zinaweza Kusambazwa Na Yeye Ni Msichana Maarufu Ambaye I'm Sure Almost Kila Mtu Anamjua. What If Zikitoka Magazetini? How Do I Tell It To Her Especlly Now That Hatupo Pamoja Tena? And We Hardly Talk Anymore Labda Tukutane And Its Mostly Hi And Goodbye!! Atanifikiria Vipi?