Nadhani ulikuwa unaijua JF, ila sema tu hukujua mapema kwamba JF inaweza kukusaidia kutangaza ile nyumba inayopangishwa kule Mbezi !! Karibu sana mkuu, ila usisahau kutuwekea bei na picha ya hiyo nyumba!hi everybody! ckujua kam kuna jf yaani laiti ningejua long time