TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

Ukawa Sasa Njia Yetu Ni Nyeupee! Mwendo Wa Kupita Bila Kupingwa!!! Bwana Ametoa, Bwana Ametwaa. Na Pia Tunataraji Kuitwaa Ikulu Oct 25 Na Mh Ngoyai.
Nilitak nipuuzie post yako ila nikaona nikupe onyo kidogo ... hii sio njia nzuri ya kwenda ikulu ... ukawa tutashinda kwa kushindana. wewe utakuwa ni ccm umejivika gwanda kinafiki.
 
Hivi mpaka sasa ni chama gani kinaongoza kwa kampeni za matusi?

Mwenye jibu naomba amuunganishe na Ibrahim Mgaya.

Hivi ni chama ngani kinatumia afya ya mtu kupigia kampeni?
 
Watanzania hawana unafiki. Nalinganisha comments zinazotolewa kwa msiba wa Deo,na ile ilotolewa kwenye msiba wa kapten Komba. Viongozi watendeeni wema wananchi. Ni msiba mzito hasa kwa wana Ludewa na familia,lakini kwa complement hizi,jamii inafarijika. Msiba wa Komba hadi spika alilalamika kwa uchangiaji kwenye mitandao.
R.I.P marehemu wote.
 
January kafanya ujinga wa kutisha. Tulithamini sana mchango wa Mh Deo kwa Taifa hili na hivyo tulihitaji kujua hali ya usalama wake. Kitoto hiki cha mzee Makamba kikawa kinafanya mzaha na upuzi ka huo bila kujali kabisa Mh Filikunjonbe hakuwa mpuuzi ka yeye au watu wenye tabia kama zake. Inasikitisha sana.
January kwa kweli nina hofu na uwezo wake wa akili,ni bora angekaa kimya kuliko kutweet habari za uongo,yaani ujinga sana tena sana
 
Jamani,

this is too much, huu uchaguzi una nini jamani mbona hivi?

Mshindwe na mlegee na kwa jina la Yesu tutavuka salama 25 October 2015
 
RIP Deo.... taifa limempoteza mtu wa muhimu sana... Mungu awe pamoja nasi kila saa na kila wakati. Hizi ajali jamani dah!
 
Niliwah Kusema Hapa Tunahtj Kumtafuta Mungu Sana Kwan Vita Inayoendelea Ni Vita Ya Miungu, Yaan Mizimu Inataka Iendelee Kuwa Na Sauti Ktk Taifa,na Mungu Wa Mbingu Na Nchi Ndio Anataka Kutawala Awe Na Sauti Ya Mwisho.
 
Back
Top Bottom