Mods unganisha hii thread na zingine zinajaza nafasi tu
Askari wa ngazi za chini nao wameichoka c.c.m na hata hawaipendi hata kidogo, wote ni chadema, nina ishi nao uku mtaani, nakaa nao vijiweni, nawajua. Hao wanapewa order na wakubwa zao kina Chagonj'a wanakuwa hawana jinsi zaidi ya kutekeleza ila wapate ugali. Wanasema sisi tulianzishe tu mwisho wa siku watakuwa upande wetu kwa sababu nao wanaathirika na huu mfumo m'bovu wa magamba, tuliona tunisia, misri, libya, polisi waliua watu mwisho wakasema basi.
Hakuna ukombozi bila damu kumwagika ndugu zangu.
Acha kwanza mkione cha moto. wakati NCCR na baadaye CUF wakipata kipondo kwa CCM nyinyi mlichekelea. sasa zamu yeu hapo mtakapokuwa na akili ndo mtajua nini maana ya kushirikiana. sasa mmebaki peke yenu huko Arusha. siku ingine msijitenge kwenye harakati zenye masilahi kwa taifa. Yaani hapa ninafuraha mpaka basi. Siwapendi ccm na wala siwafagilii chadema kwa sababu wanajiona weo ndo wao.