Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 5,566
- 11,316
NAKAZIA 📌🔨Tanzania mambo inayoweza kuyafanya kwa ufanisi na yakakamilika kwa Asilimia 💯 ni
1.Ngono.
2.Ulevi
3.Uongo
4.Chuki
5.Wizi
6.Ufisadi
Haya mambo mtanzania atafanya kwa ukamilifu kabisa pasipo shaka lakini si mambo ya maendeleo ya Taifa
Watanzania wamelaanika.