Hebu angalia wanyamwezi tunavyo Re-mix maneno/majina ya kiingereza/kiswahili.

Stili waya = steel wool
Shakamzoba= shock absorber
Fulu masinondo= Full Mass Order
Bani = burner (la kukaushia tumbaku)
 
Shock absorber- shokamzoba, hii nimeisikia sana kwa wenye magari
 
Charles-Chalesi. South africa - Sauzi Afrika. Wrong-Long. Right-laiti Kiswahili ndio pia kilifanya iwe haya Petrol station za Kwanza Tanzania Shell na Total kila kituo cha mafuta imekuwa Shell-Sheli na Enzi za Ukoloni Pwani(bandarini) zilikuwa Meli zikileta barua za wazungu sasa waengereza wakiona wanasema Oh mail Mail Watumwa toka kipindi hiko ikawa Ship wanaziita Meli Sawa na Maeneo Mengi Dar-es-salaam yanamajina ya wazaramo Mwana-nyamala(mtoto nyamaza) hasa kule Msasani, Mikoroshini na Masaki inatokana na tabia za watu kubatiza Msasani kulikuwa na Musa Hassan ss Wamakonde walivyofika kila mtu kwa Mucha achani watu ili wasafishe ndio ikawa Msasani. Zanzibar Market ikawa markiti hiyo walijitahidi waengereza walikoroga neno Market wakaisikia Markiti.
 
Charles-Chalesi. South africa - Sauzi Afrika. Wrong-Long. Right-laiti Kiswahili ndio pia kilifanya iwe haya Petrol station za Kwanza Tanzania Shell na Total kila kituo cha mafuta imekuwa Shell-Sheli na Enzi za Ukoloni Pwani(bandarini) zilikuwa Meli zikileta barua za wazungu sasa waengereza wakiona wanasema Oh mail Mail Watumwa toka kipindi hiko ikawa Ship wanaziita Meli Sawa na Maeneo Mengi Dar-es-salaam yanamajina ya wazaramo Mwana-nyamala(mtoto nyamaza) hasa kule Msasani, Mikoroshini na Masaki inatokana na tabia za watu kubatiza Msasani kulikuwa na Musa Hassan ss Wamakonde walivyofika kila mtu kwa Mucha achani watu ili wasafishe ndio ikawa Msasani. Zanzibar Market ikawa markiti hiyo walijitahidi waengereza walikoroga neno Market wakaisikia Markiti.

Cow way-kawe
 
Rubber band, tunaita Barabendi. Goods train, tunaita Gusi. Check line, tunaita Chekeleni. Hospital tunaita sbitali. Sindano tunaita shindano. Na wengine mwageni re-mix za kwenu.

ah kumbe gusi stand for goods train! oh my good ndo najua leo, nilidhani kwa kiswahili ndo inaitwa gusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom