Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Anataka kujiuwa baada ya kufanya uchunguzi wa afya(nguvu za kiume) na kugundua yafuatayo.
Sperm analysis results.
Appearance:Transparent milky like.
Amount:3.5 cc of semen fluid..
Viscosity:0.2 cm.
Mobility :20%.
Microscopic: pus cells 30/hpf, epithelial cells +,Year cells +, Live spermatozoa 20%, Dead spermatozoa 80%.
Sperm count:110 million/1 mill.
CULTURE:Revealed a growth of staphylococus with candida celbicans,SENSITIVE TO GENTAMYCIN.
NB.KABLA YA KUFANYA VIPIMO, MBEGU ZILIKUWA KWENYE KONDOM YA KIUME KABLA YA KUHAMISHIWA KWENYE KIFAA MAALUMU NA ZILIKAA HUMO KWA ZAIDI YA DAKIKA ISHIRINI KABLA YA KUFIKISHWA MAABARA.
Mhusika hana mtoto na alisha wapa mimba wanawake watatu tofauti na mimba ziliharibika kwa maelezo kuwa zilitunga nje ya mfuko wa uzazi.
Akifanya mapenzi na mwanamke baada ya goli la kwanza anakuwa hanahamu na uume husinyaa,hata ukisimaa mapema hawezi kufika tena kileleni.
Alisha pimwa maradhi ya kama PB na kisukari vyote alikuwa hana tatizo lakini alipewa dawa aina ya SILDENAFIL CITRATE ambazo hazikumsaidia kwani uume unasimama tu bila kufika kileleni.
Anaomba msaada wenu waungwa kwani anamatumaini makubwa na membaz wa hapa JF.
Ahsanteni na MUNGU AWABARIKI
Sperm analysis results.
Appearance:Transparent milky like.
Amount:3.5 cc of semen fluid..
Viscosity:0.2 cm.
Mobility :20%.
Microscopic: pus cells 30/hpf, epithelial cells +,Year cells +, Live spermatozoa 20%, Dead spermatozoa 80%.
Sperm count:110 million/1 mill.
CULTURE:Revealed a growth of staphylococus with candida celbicans,SENSITIVE TO GENTAMYCIN.
NB.KABLA YA KUFANYA VIPIMO, MBEGU ZILIKUWA KWENYE KONDOM YA KIUME KABLA YA KUHAMISHIWA KWENYE KIFAA MAALUMU NA ZILIKAA HUMO KWA ZAIDI YA DAKIKA ISHIRINI KABLA YA KUFIKISHWA MAABARA.
Mhusika hana mtoto na alisha wapa mimba wanawake watatu tofauti na mimba ziliharibika kwa maelezo kuwa zilitunga nje ya mfuko wa uzazi.
Akifanya mapenzi na mwanamke baada ya goli la kwanza anakuwa hanahamu na uume husinyaa,hata ukisimaa mapema hawezi kufika tena kileleni.
Alisha pimwa maradhi ya kama PB na kisukari vyote alikuwa hana tatizo lakini alipewa dawa aina ya SILDENAFIL CITRATE ambazo hazikumsaidia kwani uume unasimama tu bila kufika kileleni.
Anaomba msaada wenu waungwa kwani anamatumaini makubwa na membaz wa hapa JF.
Ahsanteni na MUNGU AWABARIKI