The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,444
- 8,312
Naona mmejitahidi Sana kukwepesha kwepesha UKWERI......
Naomba niwaambie watanzania Wengi hawaoni hayo majengo au Ile halaiki kichwani mwao wakisikia uzinduzi wa ikulu Dodoma.......
Hii ndo picha inayokuja kichwani mwao siyo hayo majebgo meupe. Meupe......
Jingine Mmefanya vizuri kutomtaja huyo Mwamba otherwise mgeumbuka, lile shangwe na vibe ambalo lingeibuka lingewaharibia SIku kabisa ....
.Naona mlijifunza kule rufiji. Ila ndo hivyo Magufuli ni itikadi hakwepeki kaacha alama kila Kona na miradi Yake mingi.ndo Kwaanza Ipo katikati.......
Naomba niwaambie watanzania Wengi hawaoni hayo majengo au Ile halaiki kichwani mwao wakisikia uzinduzi wa ikulu Dodoma.......
Hii ndo picha inayokuja kichwani mwao siyo hayo majebgo meupe. Meupe......
Jingine Mmefanya vizuri kutomtaja huyo Mwamba otherwise mgeumbuka, lile shangwe na vibe ambalo lingeibuka lingewaharibia SIku kabisa ....
.Naona mlijifunza kule rufiji. Ila ndo hivyo Magufuli ni itikadi hakwepeki kaacha alama kila Kona na miradi Yake mingi.ndo Kwaanza Ipo katikati.......