mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
haya mambo yapo na thread kibao zinazungumzia hizi mambo...jamii imebadilika..anyway mimi huwa ni observer tu wa mambo mbali mbali...ila ya leo kali maana kama ulikua hujui ndo ujue kwamba lile kabila la ukanda wa pwani lishapigwa vikumbo zamaniii na kabila moja ivi huko KASKAZINI!!na ni wataalam kweli wa kuficha hisia na muonekano..wana ndoa zao na kazi zao za heshima!!
habari ndio iyo!!
habari ndio iyo!!