Hiyo ni milaa yao hata wakija hapa wana shangaa wakikuta kwamba sisi tunakula MBUZI wakati kwao ni pets...
nasikia huwa wanawalamba lamba nanihii zenu.....duh mbuzi mzuri hivyo,mi hata mkutanoni ningeenda nae na kuangalia movie as well as kariakoo shopping.....l.o.l:laugh::laugh:
Kwi kwi kwi..aluu..hata mbuzi? mi najuaga ni mbwa tu! Nikionaga mdada ana-walk the dog huwaga nakosa amani..lolnasikia huwa wanawalamba lamba nanihii zenu.....
Duh! akiamua kugeuza kitoweo.......Kwi kwi kwi..aluu..hata mbuzi? mi najuaga ni mbwa tu! Nikionaga mdada ana-walk the dog huwaga nakosa amani..lol
Kambuzi kamenona kama nini, lazima katakuwa na nyama laini na inafaa sana kuchoma!!