Haya wazungu weusi mambo ya kuiga haya ,Tori Spelling takes her pet GOAT for a walk

Babylon

JF-Expert Member
Feb 5, 2009
1,332
82
article-1353744-0D0B2B22000005DC-504_468x599.jpg

article-1353744-0D0B2ECA000005DC-264_468x529.jpg
Want a snack? Tori stops to give the goat a little something to eat
 
Bahati yake haishi kwenye ujirani wangu. Angekata kona tu mbuzi kwishney. Kitoweo muruwa.
 
duh mbuzi mzuri hivyo,mi hata mkutanoni ningeenda nae na kuangalia movie as well as kariakoo shopping.....l.o.l:laugh::laugh:
 
Hiyo ni milaa yao hata wakija hapa wana shangaa wakikuta kwamba sisi tunakula MBUZI wakati kwao ni pets...
 
Hiyo ni milaa yao hata wakija hapa wana shangaa wakikuta kwamba sisi tunakula MBUZI wakati kwao ni pets...

Kila watu na utamaduni wao wa chakula. Sisi hapo bongo hatuli konokono na vyura na wao kwao ni msosi poa!
 
Kambuzi kamenona kama nini, lazima katakuwa na nyama laini na inafaa sana kuchoma!!
 
Mi nilipoona mara ya kwanza nilishangaa sana, ujue hata nguruwe wameshamgeuza kawa pet, check kwenye google
 
Mbona kuna Mmasai mmoja anafanya kazi PPF alikuwa anakaa Tabata Makuburi zilikuwa zake sana kutembea na mbuzi!! Ilifika wakati alikuwa anaongea nae kabisa!!
 
Back
Top Bottom