Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,128
Hilo bomu litafika kule linapokwenda jamani????????????????
Halifiki, huyo njiwa kafungwa mabawa.
Hilo bomu litafika kule linapokwenda jamani????????????????
@SIMBA WA TARANGA wee unawachokoza wavaa vibaraghashia mchanga wa pwani huo mimi simo .................. shauri yako unaanza moto wewe je utaweza kuuzima?Hey!Mzizi, Hiyo kichwani ni baraghashia au macho yangu?
Nahisi kama ujumbe ni wa mapenzi huo
Ewe njiwa X2, peleka salamu!
Kwa yule X2, wangu muhibu!
Nahisi kama ujumbe ni wa mapenzi huo
Ewe njiwa X2, peleka salamu!
Kwa yule X2, wangu muhibu!
Ujumbe wako huo Sheikh............Mhhhh! haya bana!!!