Haya tena kwa wale wanaotaka kusafiri ulaya kuja kikazi au kimaisha

Acha kuwaraghai watu hkn kazi ulaya zaidi ya kubeba box. Iwe umesoma degree Tz au Ulaya bado ngumu kwa mwafrika kpt kz professional. Mi naongea haya c kwa kusikia bali nimekaa Norway 4yrs nikaja Uk nikakaa 5yrs, nikaona hkn ramani ya kimapato zaidi ya kupt hz huduma unazosema eti kutibiwa bure. Bro ht hp Tz kuna bima ya afya ambayo inaextend from managers mpk mama ntilie. Wandugu jameni labda mkaoshe macho tu au kusoma(na plz uwe na sponsor otherwise elimu imekuwa ghali esp UK) kiujumla UK is very stressful to live. Mi nimerudi na videgree vyangu ss nakula kuku hapa Tz(mkataa kwao mtumwa)

Acha hizo mkuu, We need not to fight or discourage opinon oy your like for the situation on peoples life. Some people had good choice to go where they desired to make up a living, while others even they didn't make it to their desire, and others they failed to attempt. So we are all one but in different junctions of progress. Why; You who may be better today insult those who are still making their way up slowly by step to leave homeland can be blessed victory or a failure, so nor one choose to fail. My plea; Pray and wish them well those who are struggling with odd jobs, because kesho waweza jiona chini na uwaulize njia ya kuishi maisha rahisi. so at the end of the journey when we are called Home by our BIG DAD, GOD, we leave everything on earth. May you all have victorious day, na endelea vizuri kula kuku TZ.
 
process mpaka kufunga mkanda inachukua muda gan? na ule mkwanja unacover xpensess zote au nikishadiposite hilo bundle then mausafiri na kila kitu juu yangu ukishanitumia visa?
 
Vjana wakibongo wana ndoto za kwenda ulaya,wakilala wakiamka wanawaza kwenda,katen passport na visa mkawe mashoga ulaya maana kule ushoga unalipa usiogope we nenda kwea pipa ndugu...@@[1:[0:1: I LOVE TANZANIA]]
 
Mkasika. Wewe km umesoma vzr maelezo yangu usingekurupuka na english yako broken! Ndo mana wanajamvini wengine wameeelewa na kuendelea kucomment vyema. Let me repeat 4ur benefit and others dont have much expectation before u reach those land they so called developed countries, for sure you will realise the truth. I dont know cz everbody has got his only lucky but the reality is that the life overthere is calculated according what u earn per pcm to get savings depend how much you get pcm(if happened)
 
Last edited by a moderator:
Mkasika. Wewe km umesoma vzr maelezo yangu usingekurupuka na english yako broken! Ndo mana wanajamvini wengine wameeelewa na kuendelea kucomment vyema. Let me repeat 4ur benefit and others dont have much expectation before u reach those land they so called developed countries, for sure you will realise the truth. I dont know cz everbody has got his only lucky but the reality is that the life overthere is calculated according what u earn per pcm to get savings depend how much you get pcm(if happened)
kishimba75 pamoja na kwamba umekosoa kiingilish cha Mkasika naona hata chako ni mule mule "skuli za kata", which is not about the topic anyway!

Binafsi nakubaliana na wewe kwamba ulaya na marekani maisha si rahisi kama tunavyofikiria.
Lakini jambo la kujiuliza je hapa nyumbani maisha ndio rahisi kwa maana ya kupata pesa kihalali??
Je kuna fursa na an equitable reward system??

Mtazamo wangu ni kwamba watanzania tunatakiwa kujua kwamba export sio pamba na korosho tu, tunaweza kuexport huduma hata kama ni kufanya kazi za ndani nchi za watu.
Angalia remittance za wanaijeria, wahindi, wakenya, wapakistani n.k waishio nje kwenye pato lao la taifa utajua nini nasema.
Halafu kiongozi inabidi ujue kwa kusafiri ni elimu tosha hata kama hukuingia darasani...only if you be believe in exposure!!

Watanzania huwa tunalaum wakenya "wanabebana", sasa MziziMkavu kaguswa "kutubeba" watanzania wenzie all we do is discourage... Utajisiaje ukienda ulaya halafu ukakuta meneja wa hotel ulolala ni mtanzania mwenzio??
Mbona wewe hujatwambia hizo kuku unazokula na sie tunaweza zipataje hapa hapa bongo???
Je, wewe ni aina ya watu wenye kusema msije mjini maana maisha ya mjini magumu sana wakati wewe mwenyewe hutaki kutoka mjini???

Kuna mifano ya walokwenda ulaya na wakapigika lakini tuna watu kibao pia walokwenda na wako njema babake. It goes down to how you lead your life..ukienda huko ukasahau kwamba huko sio kwenu bali umeenda kutafuta ujue ndo mwanzo wa kufeli.

Watanzania tujifunze kupeana moyo and having constructive criticism.....
 
Mkuu RealMan Utapata kazi usiwe na wasiwasi wasiliana na mimi kwa hiyo email niliyotoa hapo juu mkuu nitakupa Full detail zote za kuweza kupata viza na kusafiri na kila kitu don't worry bw happy mkuu.

Mkuu ninaweza tusifanye makaratee sasa hivi but I'm reserving your email for future use. Nishakurushia email jombaa!!

Kwa sasa namalizia kadarasa fulani ili hata nikisema nakwea pipa basi nipate kazi yenye mshiko zaidi..

Hapa bongo tusidanganyane hata wanaosema wanakula kuku hicho wanachopata hakitoshi kuandaa maisha baada ya kazi.
 
mkuu mie ninataka kwenda USA kwa mda mfupi ila ubalozi unanibania. huna connection huko?
Unataka kwenda kutembea tu au kutafuta maisha? wamekunyima Viza mara ngapi? nitumie Pm sasa hivi US Viza haina tabu.

Mkuu Lisa Mbona ni ndogo sana hizo Pesa? huku mbeba Maboksi analipwa kwa mwezi kwa thamani ya Tanzania shillingi ni Tz Shs Million 1,800000 sasa ikiwa una Digrii utalipwaa mara 7 ya hizo pesa za Mbebaji Maboksi . Wanapunjwa huko kwetu mishahara ya Serikali ni midogo sana Ehhhh kasheshe kweli jamani na bongo yetu.
Tenda haki basi kwa kuwaeleza watu kodi ya usingizi kwa wiki ni euro ngapi na kwa mwezi ni euro ngapi? bila kusahau gharama za gas, umeme na na round trip cost, je kwa mwezi unabakiwa na kiasi gani kama saving?
 
Mkuu Lisa Mbona ni ndogo sana hizo Pesa? huku mbeba Maboksi analipwa kwa mwezi kwa thamani ya Tanzania shillingi ni Tz Shs Million 1,800000 sasa ikiwa una Digrii utalipwaa mara 7 ya hizo pesa za Mbebaji Maboksi . Wanapunjwa huko kwetu mishahara ya Serikali ni midogo sana Ehhhh kasheshe kweli jamani na bongo yetu.
Tumeshazoea na tunaishi, sema kinachofanya tukae ni safari za mikoani na nje ya nchi hizo ndizo zinalipa, na tena inategemea uko kwenye kitengo gani . walio kwenye kitengo cha IT.
 
MziziMkavu , nahisi ili uboreshe hiyo kazi inabidi uweze kutafuta link na waajiri wa huko ili uweze kuwa unasaidia pia watu kuja kufanya kazi huko but sio za kuosha vyombo..i mean work ya ukweli
 
Last edited by a moderator:
Mkuu watu8 Ninawasaidia namna ya kusafiri kuingia ulaya kazi ikiwa wewe una vyeti vyako umesoma una Diploma au Digrii hukosi kazi la kam hujasoma itabidi ubebe maboksi kazi zipo ili mradi uwe na vyeti vyako kama huna vyeti itabidi ubebe maboksi mkuu. Kwa Maelezo zaidi nitumie barua ya Pepep Email yangu address hii hapa fewgoodman@hotmail.com

Mzizi mkavu ina maana mi nikitoka huki na cheti changu kuna urahisi hivyo kweli?

Maana kazi kila mmoja anataka yenye maslahi. Je huko kazi zipo tu kwa wingi mpaka zinasubiri watu wengine tofauti na Ulaya
 
Mkuu watu8 Siwezi kuweka mtam kwenye kuku wengi watamaliza mtama wangu.
wewe kijana acha mchezo wa utapeli. kama una nia njema kweli kwanini uogope kuanika hapa kila kitu?
nani ana uhakika kama kweli umri wako ni 48, na muumini mzuri? unataka kuwa
nyang'anya maskini hata kile kidogo walicho nacho? ndugu zangu watanzania kuweni makini na huyu bwana, ukimchunguza sana utagundua anaishi maisha ya ujanja ujanja tu!
 
Last edited by a moderator:
wewe kijana acha mchezo wa utapeli. kama una nia njema kweli kwanini uogope kuanika hapa kila kitu?
nani ana uhakika kama kweli umri wako ni 48, na muumini mzuri? unataka kuwa
nyang'anya maskini hata kile kidogo walicho nacho? ndugu zangu watanzania kuweni makini na huyu bwana, ukimchunguza sana utagundua anaishi maisha ya ujanja ujanja tu!
Wewe Mzee Bosco Ntaganda Hebu jaribu kujiheshimu sio umekuja hapa kuleta uchafuzi wako wa lugha kama huna maneno ya kuzungumza jaribu kukaa kimya ninakuheshimu na mimi niheshimu usiniletee maneno yako ya Pumba kama huna kitu cha kuzungumza bora tu ukae kimya pita njia kama gari lililo jaa mchanga tafadhali sana jiheshimu utaheshimiwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom