Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Jakaya Kikwete hawezi kunywa pombe hadharani.
Kwann umetaja dini badala ya mtu?jamaa amemtaja kikwete ww umekimbilia dini uoni kama unakosea?mwenyezi mungu sw anasema amemuumba binadamu ktk umbo lililo bora kabisa akamtofautisha na viumbe wengine kwa kumpa akili,anatapofanya jambo jema amemuandalia pepo na atakapofanya jambo baya amemuandalia moto.kuna tofauti kubwa sana kati ya uislamu na mwiislamu,so uwe makini unapotaja dini za watu unapomzungumzia mtuJe waislamu kwani wanashiriki hii kitu?
Kwann umetaja dini badala ya mtu?jamaa amemtaja kikwete ww umekimbilia dini uoni kama unakosea?mwenyezi mungu sw anasema amemuumba binadamu ktk umbo lililo bora kabisa akamtofautisha na viumbe wengine kwa kumpa akili,anatapofanya jambo jema amemuandalia pepo na atakapofanya jambo baya amemuandalia moto.kuna tofauti kubwa sana kati ya uislamu na mwiislamu,so uwe makini unapotaja dini za watu unapomzungumzia mtu
Jakaya Kikwete hawezi kunywa pombe hadharani.
Tatizo nn kaka kulikuwa hakuna haja ya kutaja dini alitakiwa mzungumzie rais kikwete kama rais cos mada inamuhusu rais obama kunywa pombe,na mtoa mada hakutaja dini ya obama alikuwa anaonyeshwa the way rais obama anavyosocialize right,na hakuhusisha dini yake,mchangiaji kakimbilia dini badala ya mtu,ndio maana nikasema kuna tofaouti kubwa kati ya waislam na uislamu,imani na mtu,zambi na wemaJakaya Mrisho Kikwete ni Muislamu (going by the name), na Waislamu "safi - siyo majina" hawatumii "vileo" - right?
jakaya kikwete hawezi kunywa pombe hadharani.
Koh! koh! koh!... MMhm!ndio maana nikasema kuna tofaouti kubwa kati ya waislam na uislamu,imani na mtu,zambi na wema
Guinness....My Beer!
Love ya!
hivi jamaa na kitu chake kumbe ni walevi?
Jamaa anaona chungu kichizi