Annie X6
JF-Expert Member
- Mar 16, 2023
- 405
- 750
Tuliomaliza shule wakati magroup ya whatsapp hayajaanza tulibadilishana mawasiliano tu..baadae teknolojia ikatukutanisha kwa sura zetu pichani na wengine hawaweki nyuso zao isipokuwa avatar au picha za wanawe nakadhalika. Kazi inakuwa na maswali pale lnapokuwa hamuonani na mnaanzisha group la malengo ya kusaidiana katika shida....
Michango inaanzishwa na mmoja anampoteza mazazi mnachangia kwa masikitiko makubwa japo hamujui ni kwa moyo wa kibinaadam na kuwiwa tu mnachangia 30k kila mmoja wengine hadi 50k
Kuna kitu nakiwaza tofauti japo si kwa nia mbaya kwamba baada ya miaka zaidi ya 10 mnauhakika gani hiyo.michango sio fraud? N muda mrefu na pesa ni mwanaharamu
Michango inaanzishwa na mmoja anampoteza mazazi mnachangia kwa masikitiko makubwa japo hamujui ni kwa moyo wa kibinaadam na kuwiwa tu mnachangia 30k kila mmoja wengine hadi 50k
Kuna kitu nakiwaza tofauti japo si kwa nia mbaya kwamba baada ya miaka zaidi ya 10 mnauhakika gani hiyo.michango sio fraud? N muda mrefu na pesa ni mwanaharamu