Kiongozi wao ana wadhifa mkubwa sirikariniNimeshindwa kuelewa niweke neno gani ambalo linaweza kushabihiana na neno gaidi,maana Tanzania hatuna ugaidi.ila nataka nikwambie tu kwamba watu wanaoteka au kutesa watu hapa Tanzania ni hatari kuliko hata makundi yote ya kigaidi hapa duniani.kwa sababu watu walimvamia Dr,Mvungi wakamshambulia hadi mzee akafa ,hadi leo haijajulikana ni watu gani na nini sababu ya kufanya hayo
Mwandishi wa habari na mbunge wa ubungo Saed Kubenea alishawahi kuvamiwa ofisini kwake na kumwagiwa tindikali usoni,hadi leo haijulikani waliofanya hayo wala sababu hazijulikani
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kubanda alivamiwa na watu wasiojulikana akapigwa akaumizwa,hadi leo haijulikani ni nani walifanya hayo na kwa sababu zipi
Aliyekuwa mwenyekiti wa madaktari alitekwa na kupelekwa msitu wa mabwepande,alipigwa nusu kufa hadi leo haijulikani nani alifanya hayo na kwa sababu zipi?
Bomu lilirushwa kwenye mkutano wa Chadema hadi leo haijulikani aliyefanya hayo wala sababu zake
Na safari hii kapotea Ben saanane haijulikani alipo wala sababu ya kupotea,kwa mtirirko huo ni wazi kwamba hao wanaofanya matukio hayo ni watu hatari sana kuliko magaidi wote duniani.harafu wanajua kutunza siri sana,maana magaidi wakifanya tukio huwa wanasema,ila hawa hawasemi.na hawakamatwi.
Nimeshindwa kuelewa niweke neno gani ambalo linaweza kushabihiana na neno gaidi,maana Tanzania hatuna ugaidi.ila nataka nikwambie tu kwamba watu wanaoteka au kutesa watu hapa Tanzania ni hatari kuliko hata makundi yote ya kigaidi hapa duniani.kwa sababu watu walimvamia Dr,Mvungi wakamshambulia hadi mzee akafa ,hadi leo haijajulikana ni watu gani na nini sababu ya kufanya hayo
Mwandishi wa habari na mbunge wa ubungo Saed Kubenea alishawahi kuvamiwa ofisini kwake na kumwagiwa tindikali usoni,hadi leo haijulikani waliofanya hayo wala sababu hazijulikani
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kubanda alivamiwa na watu wasiojulikana akapigwa akaumizwa,hadi leo haijulikani ni nani walifanya hayo na kwa sababu zipi
Aliyekuwa mwenyekiti wa madaktari alitekwa na kupelekwa msitu wa mabwepande,alipigwa nusu kufa hadi leo haijulikani nani alifanya hayo na kwa sababu zipi?
Bomu lilirushwa kwenye mkutano wa Chadema hadi leo haijulikani aliyefanya hayo wala sababu zake
Na safari hii kapotea Ben saanane haijulikani alipo wala sababu ya kupotea,kwa mtirirko huo ni wazi kwamba hao wanaofanya matukio hayo ni watu hatari sana kuliko magaidi wote duniani.harafu wanajua kutunza siri sana,maana magaidi wakifanya tukio huwa wanasema,ila hawa hawasemi.na hawakamatwi.
Kwani walisingiziwa kweli?? mambo mengine ni ya hovyo ila yanachekesha sana.kwa hiyo majamaa waling`atwa??Hivi ile kesi ya Saed Kubenea ya kuwasingizia masheikh wa Zanzibar wamelawitiwa imeishia wapi?
Kwani nimetukana mkuu? Huo ndio ukwelijuvenile umetumwa na nani kuongea yote aya? uogopi?
Hawa watu ni nuksi,ila najiuliza hivi haya matukio angefanyiwa mtu wa serikali wasingejulikana kweli?Alafu unaambiwa nchi ya amani na upendo .........
Juzi si umesikia walimteka wakili msomi mapanga ya kichwa kakatwa katwa.............
Hawa watu ni hatari sana bora hata anayejilipua ukafa naye kuliko kuachwa kilema......
Kuhusu saanane hapana huenda hajui,,labda atuambie mkanda wa video wa bomu,huyu mwenyekiti nae ni muongomuongo sanaHapo kwenye blue muulize ule mkanda wa soweto alio sema anao uko wapi?
pia muulize alipo Ben saanane
Walizika watu mtoni,maiti zilipoibuk Zikazikwa tena ardhini fasta fasta!Haya,zikiibuka toka ardhini tena tunazitia moto!Hivi ile kesi ya Saed Kubenea ya kuwasingizia masheikh wa Zanzibar wamelawitiwa imeishia wapi?
Kwani ni lini tuliiangusha?Kunakipindi Inabidi tuamke na tujidhatiti kuwa hatuitaki ccm kkwa haki au kwa shali.
Hiwesekani tunawaangusha kwenye sanduku la hiayali lakini wao wanajiandaa kwa shali.
Nimeshindwa kuelewa niweke neno gani ambalo linaweza kushabihiana na neno gaidi,maana Tanzania hatuna ugaidi.ila nataka nikwambie tu kwamba watu wanaoteka au kutesa watu hapa Tanzania ni hatari kuliko hata makundi yote ya kigaidi hapa duniani.kwa sababu watu walimvamia Dr,Mvungi wakamshambulia hadi mzee akafa ,hadi leo haijajulikana ni watu gani na nini sababu ya kufanya hayo
Mwandishi wa habari na mbunge wa ubungo Saed Kubenea alishawahi kuvamiwa ofisini kwake na kumwagiwa tindikali usoni,hadi leo haijulikani waliofanya hayo wala sababu hazijulikani
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kubanda alivamiwa na watu wasiojulikana akapigwa akaumizwa,hadi leo haijulikani ni nani walifanya hayo na kwa sababu zipi
Aliyekuwa mwenyekiti wa madaktari alitekwa na kupelekwa msitu wa mabwepande,alipigwa nusu kufa hadi leo haijulikani nani alifanya hayo na kwa sababu zipi?
Bomu lilirushwa kwenye mkutano wa Chadema hadi leo haijulikani aliyefanya hayo wala sababu zake
Na safari hii kapotea Ben saanane haijulikani alipo wala sababu ya kupotea,kwa mtirirko huo ni wazi kwamba hao wanaofanya matukio hayo ni watu hatari sana kuliko magaidi wote duniani.harafu wanajua kutunza siri sana,maana magaidi wakifanya tukio huwa wanasema,ila hawa hawasemi.na hawakamatwi.
Asante kwa kumbukumbu mkuu,,ila najiuliza mbona waliomuua yule kamanda wa polisi kipindi kile kule Mwanza(BALOW) walikamatwa fasta?Umesahau na habari ya kamanda Mawazo.
Ila kwa huyu Ulimboka kiukweli sijawahi na wala sitawahi kumtetea,huwezi kuwaambia madaktari wagome,means unataka watu wafe mahospitalini.sasa si uuaji huo?Bila shaka watu hao wanalindwa , wakati wa sakata la Dr Ulimboka alitajwa mtu aliyeitwa Ramadhan Ighondu na hakukamatwa wala kuhojiwa hadi leo .
Bado haikuwa haki kufanyiwa yale aliofanyiwa .Ila kwa huyu Ulimboka kiukweli sijawahi na wala sitawahi kumtetea,huwezi kuwaambia madaktari wagome,means unataka watu wafe mahospitalini.sasa si uuaji huo?
mkuu ushawahi kuishi Trinidad and Tobago? Naskia kuna uhalifu wa kufa mtu. Nilikutana name mghana mmoja alikuwa dereva teksi huko miaka 8 amezaa name binti wa Indian mpakan name Venezuela. Alinipa story za huko dahUnakuta mwanausalama wa Tz anacomment Uzi aliopost The bold " woow Mossad ni hatari" Am like, are you Fkn crazy you nigga.
Mungu anawaona na atawafarakanisha wao kwa wao ili ukweli ujulikaneNimeshindwa kuelewa niweke neno gani ambalo linaweza kushabihiana na neno gaidi,maana Tanzania hatuna ugaidi ila nataka nikwambie tu kwamba watu wanaoteka au kutesa watu hapa Tanzania ni hatari kuliko hata makundi yote ya kigaidi hapa duniani.
Kwa sababu watu walimvamia Dr. Mvungi wakamshambulia hadi mzee akafa, hadi leo haijajulikana ni watu gani na nini sababu ya kufanya hayo.
Mwandishi wa habari na mbunge wa ubungo Saed Kubenea alishawahi kuvamiwa ofisini kwake na kumwagiwa tindikali usoni, hadi leo haijulikani waliofanya hayo wala sababu hazijulikani.
Mwenyekiti wa jukwaa la wahariri Absalom Kubanda alivamiwa na watu wasiojulikana akapigwa akaumizwa, hadi leo haijulikani ni nani walifanya hayo na kwa sababu zipi.
Aliyekuwa mwenyekiti wa madaktari alitekwa na kupelekwa msitu wa mabwepande,alipigwa nusu kufa hadi leo haijulikani nani alifanya hayo na kwa sababu zipi?
Bomu lilirushwa kwenye mkutano wa Chadema hadi leo haijulikani aliyefanya hayo wala sababu zake.
Na safari hii kapotea Ben saanane haijulikani alipo wala sababu ya kupotea,kwa mtirirko huo ni wazi kwamba hao wanaofanya matukio hayo ni watu hatari sana kuliko magaidi wote duniani.
Halafu wanajua kutunza siri sana,maana magaidi wakifanya tukio huwa wanasema,ila hawa hawasemi na hawakamatwi.