TUPAC WA MWAKALELI
JF-Expert Member
- May 23, 2014
- 354
- 105
Juzi jicho LA Watanzania wengi lilikuwa Arusha kulikokuwa na tukio la joka aina ya chatu.
Wote twajua kuwa yule Chatu eti alikuwa no first born wa braza tajiri.
Waweza jiuliza hivi inakuwaje mtu amgeuze mwanawe nyamafu? Hii inawezekana kwa watu wenye uthubutu huu:-
1. Wenye kuwapa watoto majina ya ajabu Kama Chausiku, Chuki, Mateso, Majuto, Tabu, Shida etc
2. Wenye kushinda kwa waganga kila uchao. Leo kuchanjia akili darasani, kesho kuyafuta ukurugenzi Bank kuu wakati hata hujui fedha ya MArekani inaitwaje.
3. Wenye kujidai wema Sana huku wakijicha chin I ya kivuli cha dini.
3. Wenye kusaka nafasi za juu za uongozi wa kisiasa
4, wenye pupa ya utajiri
Na wote wanaofanana na hao
Wote twajua kuwa yule Chatu eti alikuwa no first born wa braza tajiri.
Waweza jiuliza hivi inakuwaje mtu amgeuze mwanawe nyamafu? Hii inawezekana kwa watu wenye uthubutu huu:-
1. Wenye kuwapa watoto majina ya ajabu Kama Chausiku, Chuki, Mateso, Majuto, Tabu, Shida etc
2. Wenye kushinda kwa waganga kila uchao. Leo kuchanjia akili darasani, kesho kuyafuta ukurugenzi Bank kuu wakati hata hujui fedha ya MArekani inaitwaje.
3. Wenye kujidai wema Sana huku wakijicha chin I ya kivuli cha dini.
3. Wenye kusaka nafasi za juu za uongozi wa kisiasa
4, wenye pupa ya utajiri
Na wote wanaofanana na hao