First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Nyani Ngabu ana masifa kishenzi.
Lizzy ana mawenge
Faiza Foxy ni mbishi, ukijaribu hata umueleweshe jambo atazidi kung'ang'ania
Pdiddy ana kamtindo wa kupaste threads ndefuuuu kutoka kwenyd mablogs na kuzileta humu
Ulimakafu ana ka upendeleo, ukimwambia taja watu anaowapenda jf atataja wanawake kibaooo
AshaDI mama wa kuchukia, ukimsupport atafurahi lakini ukimboa anaweza alie
Mentor yeye ni full mapumba
uporoto01 huwa halali, ni zaidi ya FF
The Boss full majigambo na dharau
Paw mzee wa kupiga Ban ni balaa
bebii huyu anadanganyika, anadai ana umri mkubwa alafu yuko bikra
vivian uki pm tu kaingia line
Rev masalia yeye ni pasta lakini mhh!!
Oooh!!!
Jamani ee tusichukiane, huo ni mtazamo tu.
Lizzy ana mawenge
Faiza Foxy ni mbishi, ukijaribu hata umueleweshe jambo atazidi kung'ang'ania
Pdiddy ana kamtindo wa kupaste threads ndefuuuu kutoka kwenyd mablogs na kuzileta humu
Ulimakafu ana ka upendeleo, ukimwambia taja watu anaowapenda jf atataja wanawake kibaooo
AshaDI mama wa kuchukia, ukimsupport atafurahi lakini ukimboa anaweza alie
Mentor yeye ni full mapumba
uporoto01 huwa halali, ni zaidi ya FF
The Boss full majigambo na dharau
Paw mzee wa kupiga Ban ni balaa
bebii huyu anadanganyika, anadai ana umri mkubwa alafu yuko bikra
vivian uki pm tu kaingia line
Rev masalia yeye ni pasta lakini mhh!!
Oooh!!!
Jamani ee tusichukiane, huo ni mtazamo tu.