Nimeshangazwa sana na kauli ya Mbowe kuwa muda wote alikuwa na mawasiliano na maofisa wa juu wa ccm na akawahakikishia kuwa hakyamungu hawatamchukua yule fisadi, kama ni kweli basi mlifanya kosa la kijinga na kipumbavu mno, hao wamachame uliwaaminije? Upinzani wa kiafrica maana yake ni uadui ukae ukijua hilo.
Sasa umewaona walivyo wanafiki subiri wakichukua nchi watakata kichwa kama alivyofanyiwa Saif Al-Islam wewe cheka nao tu, nakwambia acha kutumbua macho. Badala ya kupanga safu unakwenda sijui wapi? are serious?
Kule zambia walileta mzaha huu huu, waulize mtoto wa kaunda yuko wapi? mtoto wa Raila yuko wapi? Ipyana yuko wapi? Rais Talbert aliuwawa na mtoto wa dada yake aliyekuwa akimwamini halafu unawachekea shauri yako utakumbuka maneno yangu siku moja.
Utakimbilia milimani kama Jerry Rawling nakwambia sasa, nako watakuchomoa tu.
Sasa umewaona walivyo wanafiki subiri wakichukua nchi watakata kichwa kama alivyofanyiwa Saif Al-Islam wewe cheka nao tu, nakwambia acha kutumbua macho. Badala ya kupanga safu unakwenda sijui wapi? are serious?
Kule zambia walileta mzaha huu huu, waulize mtoto wa kaunda yuko wapi? mtoto wa Raila yuko wapi? Ipyana yuko wapi? Rais Talbert aliuwawa na mtoto wa dada yake aliyekuwa akimwamini halafu unawachekea shauri yako utakumbuka maneno yangu siku moja.
Utakimbilia milimani kama Jerry Rawling nakwambia sasa, nako watakuchomoa tu.