Mwenzenu napata tabu sana na hiki kifaa changu!Siku zote hufanya kazi upande wa mbele,lakini katu haiwezekani kufanya kazi zake mujarrabu mpaka kishikwe kwa kubanwa sehemu ya nyuma!!Imekuwa ndio kawaida yake,kama sheria vile!!Unafikiri ni nini hiki?NI MKASI WA KUKATIA VITU!